Pre GE2025 Esther Bulaya: Nilishangaa watu kusema Mbowe anang'ang'ania Madaraka, huwezi kumzuia yeyote asigombee

Pre GE2025 Esther Bulaya: Nilishangaa watu kusema Mbowe anang'ang'ania Madaraka, huwezi kumzuia yeyote asigombee

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mbunge wa Viti Maalum Esther Bulaya akizungumza siku ya Jumatatu Februari 24, 2025 kupitia kipindi cha Power Breakfast cha kituo cha habari cha Clouds FM.

"Uchaguzi ni demokrasia, kachukua fomu Tundu Lissu (Mwenyekiti wa CHADEMA taifa), kachukua fomu Freeman Mbowe (Aliyekuwa Mwenyekiti CHADEMA taifa) na chama chetu sisi lazima kiakisi jina lake la demokrasia, huwezi kumzuia yeyote asigombee, yaani unamzuia vipi mtu asigombee? Mbowe kama watu walikuwa wanamtaka kwanini asigombee, na ndiyo demokrasia, ndiyo wameenda kwenye uchaguzi wameshindana na sasa hivi hawajamchagua, hiyo ndiyo demokrasia. Mimi nilikuwa ninashangaa watu wanavyosema Mbowe anang'anga'nia lakini walikuwa wanamchagua, na wanaomchagua miongoni mwao ni hao ambao hawajamchagua sasa hivi"

1740383763860.png
 
Mbunge wa Viti Maalum Esther Bulaya akizungumza siku ya Jumatatu Februari 24, 2025 kupitia kipindi cha Power Breakfast cha kituo cha habari cha Clouds FM.

"Uchaguzi ni demokrasia, kachukua fomu Tundu Lissu (Mwenyekiti wa CHADEMA taifa), kachukua fomu Freeman Mbowe (Aliyekuwa Mwenyekiti CHADEMA taifa) na chama chetu sisi lazima kiakisi jina lake la demokrasia, huwezi kumzuia yeyote asigombee, yaani unamzuia vipi mtu asigombee? Mbowe kama watu walikuwa wanamtaka kwanini asigombee, na ndiyo demokrasia, ndiyo wameenda kwenye uchaguzi wameshindana na sasa hivi hawajamchagua, hiyo ndiyo demokrasia. Mimi nilikuwa ninashangaa watu wanavyosema Mbowe anang'anga'nia lakini walikuwa wanamchagua, na wanaomchagua miongoni mwao ni hao ambao hawajamchagua sasa hivi"

Mimi mwenzenu huyu mdada,namkubali kichizi,nimeanza kumzimikia long time toka yuko CCM Mbunge wa CCM, Esta Bulaya, ni mbunge pekee aliyesaini petition ya Zitto ya kutokuwa na imani na Waziri Mkuu! Chadema ikomppteza itakuwa imepoteza kitu kikubwa,na wasipoamua mapema kuwasamehe,hawa watatu,Halima Mdee,Ester Bulaya na Ester Matiko,watagombewa kama mpira wa kona na majimbo yao,wakosimama kupitia chama chochote,wana tusua!。
P
 
Back
Top Bottom