Uchaguzi 2020 Esther Matiko afichua Ufisadi wa kutisha TBC kwa Mwamvuli wa "Star Times " mwaka wa 11 hatujawahi Pokea devident, 35% ya hisa zetu nazo zayayuka

Hahahaa.....basi tuite KIGAWO KIDOGO CHA SHIRIKA (KDS)
 
Hawa Star Times juzikati walitoa Gawio kwa serikali....... sasa utasemaje wameripoti hasara?!
 
Mkuu hujaelewa vzr,huu ni mwaka Wa 11 hamna faida,nadhani umeelewa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwaakili yangu ndogo naamini awamu ya Tano ndio awamu yenye Ufisadi kuliko awamu zote zilizopita trust me,
 
Kwaakili yangu ndogo naamini awamu ya Tano ndio awamu yenye Ufisadi kuliko awamu zote zilizopita trust me,
 
Hawa Star Times juzikati walitoa Gawio kwa serikali....... sasa utasemaje wameripoti hasara?!




Hawajapeleka ila waliahidi kupeleka Mil 500 Hata hivyo wameahidi kulipa tsh 3bln unajiuliza Kama miaka yote wanapata hasara hizi pesa wanazoahidi watazitoa wapi?

Kuna Upigaji mkubwa sana TBC na lazima Kuna mkono wa mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…