Esther Matiko: Unapoingia Segerea unavuliwa nguo zote, unaambiwa "unakaguliwa na hata kama ni Mama utaruka kichurachura"

Solution inayohitajika hapa ni ileeee ya KUWABAMIZA hao wahalifu wenzio ili wakitoka wawe na stori ya kukusimulieni nyie wahujumu wa taifa, walarushwa, mafisadi, wapiga dili na wachochezi na wavuruga-amani ya nchi. Umeelewa, umelewa, ama umeelemewa?
Hakuna mwenye guarantee ya kutokwenda jela either kwa kutenda au kusingiziwa. Hivyo usijione upo salama.

BTW, siku ukiingia halafu wakakutia vidole na wakuchungulie kwenye tundu lako la haja kubwa ndio utajua umuhimu wa hili linalozungumzwa.
 
Mimi mwenyewe niliacha jeshi kwa sababu kama hizo eti siku ya interview unavua nguo zote unainamishwa unakaguliwa kwenye makalio kama nywele za makalio zipo.

Tanzania bado baadhi ya taasisi zina mifumo ya ajabu sana.
 
Bora uingie kaburini lakini siyo haya magereza ya kibongo
 
Hiyo ni sehemu ndogo sana ya ukiukwaji wa haki za binadamu maeneo ya magereza na zile mahabusu za police ingawa kasheshe za magereza ni maradufu kwa ukiukwaji wa haki za binadamu. Tena wao ni vile wanakuwa na chambichambi za rushwa kuwahonga nyapara na askari magereza.

Kuna mateso na utesi wa kila aina ni vile tu hakuna taarifa za wazi

Kwa kifupi usiwe sababu ya mwingine kuingia kule hasa kwa uonezi.

.
 
Mimi mwenyewe niliacha jeshi kwa sababu kama hizo eti siku ya interview unavua nguo zote unainamishwa unakaguliwa kwenye makalio kama nywele za makalio zipo.

Tanzania bado baadhi ya taasisi zina mifumo ya ajabu sana.
Tetetete, sheria za serikali ya CCM
 
Gereza ni dunia nyingine kabisa!

Ova
 
Hakuna mwenye guarantee ya kutokwenda jela either kwa kutenda au kusingiziwa. Hivyo usijione upo salama.

BTW, siku ukiingia halafu wakakutia vidole na wakuchungulie kwenye tundu lako la haja kubwa ndio utajua umuhimu wa hili linalozungumzwa.


Wewe ni mshamba kama washamba wengine. Mhalifu hana haki; aliipoteza baada ya kuamua kuvunja sheria za nchi. Sasa unataka useless people kama hao wawe treated kama watalii kuleee kwenye hoteli za mbuga ya Serengeti na Mlima Kilimanjaro!???
 
Solution inayohitajika hapa ni ileeee ya KUWABAMIZA hao wahalifu wenzio ili wakitoka wawe na stori ya kukusimulieni nyie wahujumu wa taifa, walarushwa, mafisadi, wapiga dili na wachochezi na wavuruga-amani ya nchi. Umeelewa, umelewa, ama umeelemewa?
Ungejua kuwa sio wote wanaoingia magereza wanakuwa na hatia usingeandika huo upuuzi!
 
Mimi mwenyewe niliacha jeshi kwa sababu kama hizo eti siku ya interview unavua nguo zote unainamishwa unakaguliwa kwenye makalio kama nywele za makalio zipo.

Tanzania bado baadhi ya taasisi zina mifumo ya ajabu sana.
Kama una akili timamu huwezi kuingia kwenye haya majeshi ya kipuuzi
 
OK nyumba ya wote ile mkuu acha kashifa sio vizuri


Unamjua mhalifu wewe, au unasimuliwa tu!??? Imagine yule kijana A Town aliyembaka mbibi, then akamnyonga. Be serious sometimes, sawa!??? Tena nasema sheria hukoooo ziwekwe kando watu waminywe haswa hadi akili ziwakae kumkichwa.
 
Ungejua kuwa sio wote wanaoingia magereza wanakuwa na hatia usingeandika huo upuuzi!


Sasa hapo ni kosa la gereza au wanasheria wako!??? Peleka ushahidi mahakamani ili hao watu wako wasiokuwa na hatia waachiwe huru, sawa!??? Acha kupika uongo kwa kusudi tu la kupiga kelele za bure.

Lipi la maana --- usidhani kuna muwali wowote kwamba sheria ivunjwe ili kuacha kuwapatia wahalifu halali stahiki zao za mikikimikiki gerezani kwa kuhofia eti kwamba kuna wafungwa hewa miongoni mwao ambao, allegedly, wamo humo kimakosa, umeelewa!???
 
Watu wanabambikwa kesi za uhujumu uchumi, mara pembe za ndovu n.k acha kutetea ujinga nchi yetu imejaa uonevu, kuna mwanafunzi Hai amefungwa miaka 3 kwa kuonewa, demu kaibuka kwenye vyombo vya habari kasema ukweli tena mwaka huu, wengi wamefungwa kwa uonevu. kufungwa ni kufungwa tu hata ukifungiwa Impala hotel pazuri kuliko hata kwako lakini uhuru wa mtu ni kitu kingine kabisa.
 
Huyo Ndugai hajui kama CCM ni mkoloni mweusi, mambo tunayofanyiana ni ya kijinga hata mkoloni mweupe akituona atatucheka, waliondoka wakoloni weupe physically but mentally wametuachia urithi.
Bora wakoloni yaani tumeachiwa mashetani kabisa
 
aisee muwe mnasoma thread mpaka mwisho kabla hamjatoa maoni yenu.
 
Hatari sn na nusu mkuu
 
Yaan magereza yote tz lazima uvue nguo zote halafu unaweka mikono nyuma kama watumwa harafu unalazimshwa unye kwenye "MTONDOO" ndoo zile bati usipokunya kesho unakunywa bakuli la uji wamoto halafu kunya kuna kuhusu sio mchezo[emoji35][emoji35]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…