Esther Matiko: Unapoingia Segerea unavuliwa nguo zote, unaambiwa "unakaguliwa na hata kama ni Mama utaruka kichurachura"

Ndo wakae uchi ???
 
Yaan magereza yote tz lazima uvue nguo zote halafu unaweka mikono nyuma kama watumwa harafu unalazimshwa unye kwenye "MTONDOO" ndoo zile bati usipokunya kesho unakunywa bakuli la uji wamoto halafu kunya kuna kuhusu sio mchezo[emoji35][emoji35]
Bora kuwa kaburini na siyo gerezani
 
Km kujiunga na jeshi vile kukaguliwa kinyeo, udhalilishaji tyuuh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
..Nimeona clip You tube wanasema hata kule Merelani kwenye ukuta wa Mgaufuli wakati wa kutoka nao pia huvuliwa nguo na kukaguliwa kama wamebeba madini!
 
Ukiambiwa kati ya gereza la Tanzania na kaburi bora kaburi
 
Waziri anajifanya hajui hilo ? Mbona magereza yote mwendo ndio huo ? Full kudhalilishanaa
 
Matiko tuliza tako hata magereza ya Ulaya kuna kioo unaambiwa chuchumaa kinamulika tundu kama mfungwa kapiga plug.Tii sheria bila shurutiiii.
 
Hivi Kamanda Mbowe pamoja na wengine nao walifanyiwa hivi hivi, au wao wakubwa huwa wanapewa ka upendeleo flani
 
Amesema zifungwe mashine maalumu za ukaguzi, au hujasoma kila kitu?! Lakini hapo kwamba amelaaniwa anayemsingizia Mtu na kumpeleka gerezani, labda Upo Sawa, kwa sababu kilicho mpleka Matiko na wenzake gereni ni kifo Aquillina, ambacho kimsingi, kilitokana na risasi iliyo piga samasoliti hewani!
 
Hizi ndio zile zinazopigwa marufuku dunia nzima kuwa mionzi ina madhara kwa afya au zingine?
Basi utakua hujawai kusafiri kwa ndege, siku ukikanyaga Airport tu, utaelewa kama zimepigwa marufuku duniani kote au zinafanya kazi duniani kote! Au tusiende mbali, kaingie mlimani city tu pale!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…