Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee..hapa umeshindilia msumari wa moto sana.Au lengo wanataka wabakie wenyewe, ili waishi kwa kusagana
Hizi tuhuma kwamba ni memba wa ule upinde zipo zipo, japo ukiingia deep utaambiwa ni privacy ya mtu..!Hapo sawa vipi na kwa wanaosagana ? Au huko hapakuhusu kwa kuwa ni kisu kwenye mfupa
Mbunge wa Viti Maalum, Esther Matiko akichangia leo bungeni mjini Dodoma amesema kutokana na kuibuka kwa matukio mengi ya ukatili wa watoto anafikiria kuwa wanaobainika kufanya hivyo wahasiwe ili kuifanya jamii ya kitanzania kuwa salama.
Hapo sawa vipi na kwa wanaosagana ? Au huko hapakuhusu kwa kuwa ni kisu kwenye mfupa
Huyo naye ni mbakaji wa kodi zetu kwani yupo Bungeni kwa ubakaji wa demokrasiaDisgusting..!
Huyu ndio miongoni wa wale wasaliti 19 wanaolipwa pesa za walala hoi bungeni?
Kama anavyofanya wajina wake na yule BikidudeAu lengo wanataka wabakie wenyewe, ili waishi kwa kusagana?
Kwa hiyo wahasiwe?usicoment utumbo siku yakija kukukuuta kwa mwanao utajuta ndugu yangu,au bado huna mtoto ndo mana unachangia utumbo wa mavi mtupu
Kukeketwa na kuhasiwa ni vitu viwili tofauti,maji na mafutaNayeye Mtiko akeketwe.
Kwanza anaonyesha mikono, shingo na ngu ya kubana.
Anavutia wbakaji.
Huyo dada pembeni yake ndio anafaa kwa kujiheshimu.
CCMHivi baada ya bunge hili kuisha,yaani 2025,huyu na wenzake 18 watafanyia chama kipi kampeni?
The same pain, pazibwe kabisa!Kukeketwa na kuhasiwa ni vitu viwili tofauti,maji na mafuta
Dada yako au mke wako au mama yako sorry kwa hili (might be happen) akibakwa utajisikiaje mkuu?Watajua wenyewe
Acha wapigwe miti si wanapata utamu wote
Hata fiance wako au mumeo akikuingilia kwa nguvu ikaonekana anataka kukubaka utakubali ahasiwe?Nafunga mkono hoja ya matiko