Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,886
Ana undugu na JEETU PATEL?ni kampuni ya SUBHASH PATEL yule mdhamin wa shule ya lugoba sec na ndio waliojenga barabara mpya ya MSATA-BAGAMOYO
Wakina Jeetu Patel,Manji,yule mhindi Shivacom/Rada scandal wote ni wazalendo na wanapenda Reputation kuliko pesa.Wahindi wanapenda sana reputation kuliko pesa
Yeah ndio kinachowatofautisha wao na wachina, wahindi tunaishi nao hapa nchi na wengi tu walishapata uraia na kuishi hapahapa bongo ila mchina ni watu wa kuchukua na kuondoka tu, ukiona mchina anaishi sana bongo basi huyo ana sababu zake ila sio kuwa mkazi rasmi wa hapa bongo, tofauti na wahindiWakina Jeetu Patel,Manji,yule mhindi Shivacom/Rada scandal wote ni wazalendo na wanapenda Reputation kuliko pesa.
Huyu mzee yupo simple sana, mkiwa naye site unaweza kumuita foreman tu..... muda mwingi kajiinamiaAta bakhresa walimjengea nyumba yake anayoishi hadi hii leo masaki, ni muhindi mmoja anaitwa giri, anakaa mikocheni b.
Kwa kuongezea Mbezi... Goba.. TangibovuUna wasiwasi na Estim ama hutaki kwa vile ni ya kitanzania. Huoni miradi iliyofanya ama, Bagamoyo Msata kajenga nani? Massana Mbezi, Kinyrezi Kifurj, na zingine nyingi.
Lakini pia hela itabaki hapa Tanzania.
Unajua kazi ya Bank ya Baroda na Bank of India hapa Tanzania?Chunguza hapo ndio utajua kama hela za wahindi zinabaki nchini au zinarudi India.Yeah ndio kinachowatofautisha wao na wachina, wahindi tunaishi nao hapa nchi na wengi tu walishapata uraia na kuishi hapahapa bongo ila mchina ni watu wa kuchukua na kuondoka tu, ukiona mchina anaishi sana bongo basi huyo ana sababu zake ila sio kuwa mkazi rasmi wa hapa bongo, tofauti na wahindi
Estim kazi yake kujenga mkuu, anafuata mchoro wa consultant unasemaje..... hapo shida ipo kwa huyo mwenye kudesignEstim wapo vizuri kupita makampuni yote ya Tanzania hata africa mashariki.
Ukiangalia madaraja ya bonde la bagamoyo japo sijapita baada ya barabara kuisha hasa majira ya mvua wamejitahidi.
Tatizo kubwa walilo nalo kidogo ni kwenye ubunifu kidogo .
Mfano barabara ya goba kwenye kona max speed ni ndogo sana, ukizidi kidogo unamwaga gari.
Makumbusho wamefanya kazi nzuri sana lakini kwenye junction kidogo wangeweka ubunifu kuruhusu magari kupishana kwa urahisi ila kazi yao ipo bora kupita hata wachina na wajapan.
Tuwaunge mkono kwa sababu pesaa inabaki bongo na waongeze watalaam hasa kwenye design. Ujenzi wapo njema sana.
Kuhusu mradi wa kimara kibaha cha msingi consultant awe mzoefu na mambo ya highway design.
Estim kama contructor ana uwezo wa kudeliver on time.
Mungu ibariki tz.
Duuuuhh sio hivyo sikujua mkuu, ila issue ni kwamba hiyo ni kawaida tu kwa watu husika kutaka kufanya jambo lenye manufaa zaidi kwao, ila still kwani uwepo wa hizo bank hapa nchini zimekiuka sheria yoyote ile ya kiuchumi?, kwann na Tanzania wasipeleke BOT branch nyingine kule India na nchi zinginezo kadhaa?, sema tu wahindi wamejiongeza na wabongo tumezidi kulalalala tu mwishowe kulalamika mno, uwepo wa hizo banks hapa bongo sidhani kama ni kigezo tosha kuwafanya wahindi wawe watu wabaya, maana k7na marekani tuliokuwa tukipokea misaada yao na kufanya nchi ijae madeni kwa mikopo.Unajua kazi ya Bank ya Baroda na Bank of India hapa Tanzania?Chunguza hapo ndio utajua kama hela za wahindi zinabaki nchini au zinarudi India.
Au wao kua na makazi Bongo inakudatisha saaaana?
unaongea bila kuwajua unaowaongelea.. nitajie barabara gani kwa sasa hapa tanzania ina ubora kama ile ya msata -bagamoyo na hao ESTIM ndio waliojenga hyo barabara sio kila kitu unacriticise sometime fanya research ya kujua CV ya huyo unayemcriticise au kisa shubash patel ni mhindi ndo imekuwa nongwa
So?Inakusaidia nini kuwa na njia sita kuanzia kimara-kibaha wakati huohuo kuingia mjini kuna barabara moja zinakuja 6 inatoka 1 msongamao hautapungua hapo ni matumizi mabaya ya fedha za mikopo
Barabara toka daraja mbili pale msitu wa Simba mpaka Mafinga - Iringa urefu wa km 230 imejengwa na kampuni ya intaberton kutoka Denmark.Lakini nakumbuka kuna uzi uliletwa hapa ukionesha barabara imepasuka, (sina uhakika kama ilikuwa kwa lengo la kuichafua kampuni au vinginevyo) kwa mtazamo wangu naona barabara iliyojengwa kwa kiwango kizuri ni ile inaanzia daraja mbili kwenda Iringa japo sijui ni kampuni gani iliijenga
Kuwa na mtazamo tofauti wa kupunguza/kuondoa tatizo
Iyovi - mafinga ndio barabara bora Tanzania.Barabara toka daraja mbili pale msitu wa Simba mpaka Mafinga - Iringa urefu wa km 230 imejengwa na kampuni ya intaberton kutoka Denmark.
Pia ndo kampuni iliyojenga barabara ya Tunduma - Sumbawanga urefu wa km 215.
Barabara ya Iringa - Dodoma urefu wa km 260 imejengwa na kampuni ya kichina baada ya intaberton kukataa tenda kutokana na ufinyu wa bajeti.
Barabara toka daraja mbili pale msitu wa Simba mpaka Mafinga - Iringa urefu wa km 230 imejengwa na kampuni ya intaberton kutoka Denmark.
Pia ndo kampuni iliyojenga barabara ya Tunduma - Sumbawanga urefu wa km 215.
Barabara ya Iringa - Dodoma urefu wa km 260 imejengwa na kampuni ya kichina baada ya intaberton kukataa tenda kutokana na ufinyu wa bajeti.
Aliyejenga hiyo barabara kajenga katika ubora mzuri, angepewa tenda ya kujenga barabara nyingine nadhani zitakuwa zaidi.Iyovi - mafinga ndio barabara bora Tanzania.
Tatizo ni gharama Mkuu, intaberton wanapo Bid tender wanakuja na estimation cost kubwa kuliko hata bajeti..... Lakini mkiwapa kazi mtafurahi.Unaweza kuhisi tofauti ya ladha ya barabara ukiingia kwenye hiyo njia, hata kama ulisinzia utagundua tofauti ni kubwa kabisa