Estim wapo vizuri kupita makampuni yote ya Tanzania hata africa mashariki.
Ukiangalia madaraja ya bonde la bagamoyo japo sijapita baada ya barabara kuisha hasa majira ya mvua wamejitahidi.
Tatizo kubwa walilo nalo kidogo ni kwenye ubunifu kidogo .
Mfano barabara ya goba kwenye kona max speed ni ndogo sana, ukizidi kidogo unamwaga gari.
Makumbusho wamefanya kazi nzuri sana lakini kwenye junction kidogo wangeweka ubunifu kuruhusu magari kupishana kwa urahisi ila kazi yao ipo bora kupita hata wachina na wajapan.
Tuwaunge mkono kwa sababu pesaa inabaki bongo na waongeze watalaam hasa kwenye design. Ujenzi wapo njema sana.
Kuhusu mradi wa kimara kibaha cha msingi consultant awe mzoefu na mambo ya highway design.
Estim kama contructor ana uwezo wa kudeliver on time.
Mungu ibariki tz.