kiumbe kipya
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 2,831
- 1,304
Wote wanaotoka kimara wanakwenda posta,ongeza nyama kwenye kufikiriInakusaidia nini kuwa na njia sita kuanzia kimara-kibaha wakati huohuo kuingia mjini kuna barabara moja zinakuja 6 inatoka 1 msongamao hautapungua hapo ni matumizi mabaya ya fedha za mikopo
Mkuu wana chuki na wivu tu,
Hata huwezi jua wanataka nini ndugu.watanzania tuna tabu sana mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sogea ni wafaransaSogea kampuni ya nchi gani
Ungekuwa unatokea maeneo ya kibamba, mbezi , kimara ungekuwa unaelewa umuhimu wa barabara hii. Je unafafamu kila asubuhi saa 1 polisi hulazimika kuzuia magari yaendayo mikoani eneo la kimara mwisho kupisha njia mbili kwa magari yatokayo mbezi?Inakusaidia nini kuwa na njia sita kuanzia kimara-kibaha wakati huohuo kuingia mjini kuna barabara moja zinakuja 6 inatoka 1 msongamao hautapungua hapo ni matumizi mabaya ya fedha za mikopo
Hawezi kuelewaUngekuwa unatokea maeneo ya kibamba, mbezi , kimara ungekuwa unaelewa umuhimu wa barabara hii. Je unafafamu kila asubuhi saa 1 polisi hulazimika kuzuia magari yaendayo mikoani eneo la kimara mwisho kupisha njia mbili kwa magari yatokayo mbezi?
Naongeza nyama kidogo mkuu, TPA, PSPF 1&2 Zipo pale posta zinapendezesha jiji, PPF pale ubungo, jengo la Airtel pale Morocco, Jengo la Halotel pale, paloma, ...Estim wako vyema in capital,equipments na personel..uhusiano wao na konoike umewabeba sana,sasa wanaweza compete na mchina squarely!
1.bagamoyo _ msata.
2.morroco _ mwenge
3.mbezi mwisho_tangi bovu
4.makumbusho bus stand sorrounding roads
5.morroco square.
6.posta twin towers.
Malamba mawili to mbezi mwisho pia wanajenga waoNaongeza nyama kidogo mkuu, TPA, PSPF 1&2 Zipo pale posta zinapendezesha jiji, PPF pale ubungo, jengo la Airtel pale Morocco, Jengo la Halotel pale, paloma, ...
Kwa Zanzibar kuna msikiti wa mazizini, kuna msikitini wa mchangani, Verde Hotel Zanzibar, Fumba uptown living
Over
Pita Malamba- Mbezi uangalie kazi yake.Estim yupo vizuri sana, ila sijaiona kazi yake hata moja