Will Dar is Slum handle all this?
Mungu saidia bongolala waache kuzaana kama nzi. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kunyaland ni ndogo ila population yake inakaribia kuifikia Tanzania, hapa umepata jibu ni nani anazaliana sana.
Kuna subway?tram au nn?Kisumu Ina infrastructure fulani Dar haina.
Bongolala ni ndogo na population yake mara tatu ya continent yote ya Australia. Muache kuzaana.
Tanzania ni kubwa lakini population yake inakaribiana na ya kunyanland yenye ukubwa mdogo.
Kwa sababu Kenya we can afford it.
Kenya ambayo ni ndogo iko na lami kilomita mara mbili ya Tanzania, stima mara mbili etc.
Always story za kujipa moyo tu,
Kuaaffford nini?
Sasa kama mumeshindwa kuwalisha watu wenu wenye njaa mtaweza nini [emoji23][emoji23][emoji23]
Hapo kwenye roads ndugu yenu yule alishawaambia ukweli mchungu.
Stima mara mbili yetu mbona umeme huwa unapotea hadi wiki huko.
They have so many. Even Mbeya and Iringa are cities! Of course according to Tanzanian standardshow many cities you have in your country?
I prefer having occasional blackouts than not having electricity at all.
Tanzania hakuna stima kabisa. 70% of your country is in darkness. Hao wanaweza fanya chochote wapate blackouts kama za Kenya.