et jaman?

et jaman?

Mnyepe Boy

Senior Member
Joined
Apr 17, 2013
Posts
101
Reaction score
16
iv ni kwel wizara ya elimu wametoa majina ya shule zitakazoenda jkt kw awam ya pil mwez w 6
 
Haya maandishi yanadhalilisha jukwaa la elimu.
 
ingia web ya wizara ya elimu angalia usitusumbue wakati source inafahamika.
 
Haya maandishi yanadhalilisha jukwaa la elimu.

Sijui ni uvivu wa kuandika au ndio madoido! Hata kwenye mitihani yawezekana ndivyo wanavyoandika halafu wanataka kuandamana kwa kulalama wanapata sifuri.
 
Sijui ni uvivu wa kuandika au ndio madoido! Hata kwenye mitihani yawezekana ndivyo wanavyoandika halafu wanataka kuandamana kwa kulalama wanapata sifuri.
cku nyingine kam hauna cha kuandika chukua tym
 
Sijui ni uvivu wa kuandika au ndio madoido! Hata kwenye mitihani yawezekana ndivyo wanavyoandika halafu wanataka kuandamana kwa kulalama wanapata sifuri.
Kama sms ningeelewa maana wanatozwa kwa kuhesabu idadi ya maneno (like 160 characters is the unit). Ila sasa Jamiiforums anapima nini??? tena anaandika jukwaa la elimu!
 
iv ni kwel wizara ya elimu wametoa majina ya shule zitakazoenda jkt kw awam ya pil mwez w 6

acha matuc km una cha kuandika chukua tym ? ?

cku nyingine kam hauna cha kuandika chukua tym

Kuuliza si UJINGA. Kwanza msaidie halafu ndiyo mwelekeza.

Kuuliza si ujinga ila huyu mtu ndio mjinga,hivi hata wewe huoni tofauti kati sentensi yako na za kwake? Nisaidie kumuuliza maana ya maneno haya:
Iv
Kam
Kw
Pil
W
Tym
Hili ni jukwaa la elimu kama anataka kuchat aende chit chat
 
Back
Top Bottom