Qaxubi Tunechi
Member
- Aug 22, 2018
- 13
- 16
Yah ipo mkuuuKuna QT ya advance yan form 5 na 6 kwa mwaka 1
Hata miaka 20 nyumaWakuu kama mtu ulimaliza kidato cha nne miaka nane nyuma unaweza kurudia mtihan wa kidato cha nne kwa QT.
Kuna QT ya advance yan form 5 na 6 kwa mwaka 1
OPEN UNIVERSITY YA TZKirefu cha out
Hahahahahaa usinambie unamtania.ukimaliza unaomba chuo chochote kama wengineipo ukimaliza unaenda kusoma OUT
Open university of TzKirefu cha out
Yah ipo mkuuu
QT ni qualifying test kwa Wale wanaotafuta sifa ya kuendelea kidato cha nne moja kwa moja ili awe name sifa ya kufanya NECTA ya form four lakini kama PRIVATE CANDIDATE 'PC'Kuna QT ya advance yan form 5 na 6 kwa mwaka 1
Mbona mmenipotezea? Au hakuna anayejuwa?Nilifanya mtihani wa qualifying test ya form 2 mwaka 2008, nilifaulu lakini kutokana na majukumu ya kifamilia sikuendelea yaani sikufanya mtihani wa form 4, je naweza kuendelea nilipoishia, au Necta hainitambui tena? Ahsanteni.