Mwinyi_ole_mushi
JF-Expert Member
- Oct 29, 2015
- 1,635
- 4,411
kuna dogo naye alikuwa anataka hii kitu.
alivyoniuliza mimi, nikamwambia hakuna
ila naona huku wadau wanachangia vizuri, na kama yupo anayejua sehemu ya kusoma hii kitu kwa MOSHI, ARUSHA NA DAR anijuze tafadhali nimletee mrejesho dogo akapige buku
alivyoniuliza mimi, nikamwambia hakuna
ila naona huku wadau wanachangia vizuri, na kama yupo anayejua sehemu ya kusoma hii kitu kwa MOSHI, ARUSHA NA DAR anijuze tafadhali nimletee mrejesho dogo akapige buku