Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CMU ndiyo nini
okay mai pipo nilitaka kujua 2uu na ninashukuru nimeelewa na thanks mana nilikuwa ninauliza kumbe inakula sana vocha okay poa nimeelewa
Sijakuelewa mkuu! Hamna bundle kivipi?, bundle zote za voda na airtel unaweza kuzitumia kwenye simu au kwenye modem, subscribtion za bundle zinafanyika kwenye simcard so simcard hiyo ukiiweka kwenye modem ama kwenye simu wewe unaendelea kukamua tu, simu yangu nokia n95 8gb ina speed zaidi kuliko modem za airtel so mara nyingi huifanya as modem kwa bundle ile ile ninayoitumia kwenye modem.Angalizo inakula sana pesa, haitakuwa calculated kama unavyotumia simu katika ktk kubrowse.nilijaribu ipo fasta yaani ukiweka bk5 ni dakika kadhaa imekata na hamna bundle unayoweza kutumia.
I think thats why watu hawapendi sana kuitumia
siku hizi 30,000 kwa mweziHaili sana wala zaidi charges ni zile zile per/Mb. Ningekushauri kuweka Voda unlimited package, nadhani ilikuwa 60,000 kwa mwezi.
Angalizo inakula sana pesa, haitakuwa calculated kama unavyotumia simu katika ktk kubrowse.nilijaribu ipo fasta yaani ukiweka bk5 ni dakika kadhaa imekata na hamna bundle unayoweza kutumia.
I think thats why watu hawapendi sana kuitumia