Wakati huo reli ya Djibouti Ethiopia ikifanya kazi gani.? Au unafikiri Djibouti haina bandari?Hahaa ss tuna mpaka mkubwa na uhabeshi so hilo linatendeka hata leo hii, ndoto hizo ni za mchoma kuku maguuu![emoji3] [emoji122] [emoji191] [emoji125]
ati Kenya ina 2700 MW peleka upumbavuHata mkiongeza 1000MW bado mtakua hamfikii kenya. Turkana power plant inagia national grid mwezi huu 2018, that's an additional 300MW ukichangaya yote inakua 2,700MW, project zenye ziko kwenye pipeline hapa kenya ni nyingi sana nikitaja utaumia bure, lakini hapo tutaziongelea kadri mapicha ya ujenzi yakikaribia kuisha ,
Sasa sijui umefikaje conclusion ya thermo na hydro ni kubaki nyuma (linger behind)
acha hadithi za vijiweniTatizo sio population ngapi unayo, tatizo ni uzalishaji wa kukutosha na ziada. Uganda they're still within their capacity wakitaka wataongeza. Ethiopia wana 6000MW on the pipeline from their new dam, plus walizo nazo hivi sasa. Tanzania Kenyerizi gas power plant still underconstruction, hiyo ni 1000MW adding to current production. Bado hatujaweka Mchuchuma coal plant 600MW. And Magufuli signature project Stiegler Gorge dam 2100MW. You can't produce too much than the one you need at that particular time itakuwa upotevu wa pesa. Kenya bado mna linger behind with no clear plan zaidi ya thermo hydro power na few wind power hapa na pale. 700MW za Kibuka falls at Tana river si dhani kama itatoa majibu ya shida ya umeme Kenya. Au mnategema expensive nuclear power?
LAPSSET sijui imeishia wapi. Miradi ya Kenya ni kichekesho.....Konza City bado inachakatwaHivi Kenya bado wana ndoto za kuihudumia Ethiopia from their ports?
Ethiopia nchi kubwa sana. Southern Ethiopia is near Kenya and who said we want to be the main port to Ethiopia?Wakati huo reli ya Djibouti Ethiopia ikifanya kazi gani.? Au unafikiri Djibouti haina bandari?
baga whatever ilifikia wapi😀LAPSSET sijui imeishia wapi. Miradi ya Kenya ni kichekesho.....Konza City bado inachakatwa
Bagamoyo ipo kwenye pipeline tayari huku Tanga,Dar na Mtwara zikiboreshwa. Kenya mtakaa mwaka huubaga whatever ilifikia wapi😀
Hata Uganda pia inaotea opportunities za Lapsset kufanya biashara na Ethiopia, that means nchi yoyote South of Uganda ikitaka kufanya biashara na Ethiopia itabidi ipitie Kenya..Hivi Kenya bado wana ndoto za kuihudumia Ethiopia from their ports?
Pumbavu ni wewe na mbegu zako.ati Kenya ina 2700 MW peleka upumbavu
jamaaa pimbi sana,haamini kuwa kenya kuna umeme kiasi hicho😀Pumbavu ni wewe na mbegu zako.
Kenya ilikua na 2,400MW by Dec 2016, turkana wind firm (300MW) ilimaliza kujengwa in 2017 lakini kukakua na delay in completing high voltage transmission line, hio line inakua completed mwezi huu but the wind firm already serves the neibourhood its just waiting to be connected to the national grid.... So do the math of hoe much installed capacity Kenya has.... Tanzania bado iko 1,700MW alafu mnaturingia! Po!
msee hata picha za kinyerezi hazijakutosha tu unataka ujaze server za jf kwa hz pic?Stories za tuta tutajenga. Wenzako wanazungumza kilicho mezani.
msee hata picha za kinyerezi hazijakutosha tu unataka ujaze server za jf kwa hz pic?
Unazitaka za sa hz tukutumie?Picha za Bagamoyo port zilijaza server za JF hadi tukachokaaaa
Unazitaka za sa hz tukutumie?
Hahaha February? By that time pipeline was meant to pass through Kenya isn't it?Hata Uganda pia inaotea opportunities za Lapsset kufanya biashara na Ethiopia, that means nchi yoyote South of Uganda ikitaka kufanya biashara na Ethiopia itabidi ipitie Kenya..
View attachment 669077
Kwa lappsset barabara, border post with Ethiopia, isiolo airport na lamu port ziko mbioni .....pipeline na resort cities ziko kwa planning stage. ..sisi ni kusema na kutendaLAPSSET sijui imeishia wapi. Miradi ya Kenya ni kichekesho.....Konza City bado inachakatwa
Weka picha za Bagamoyo port punguza longolongo.Unazitaka za sa hz tukutumie?
Kusema na KUIBA. Naikuni na Gunze wameifilisi KQ huenda CEO toka Poland akanyoosha shirikaKwa lappsset barabara, border post with Ethiopia, isiolo airport na lamu port ziko mbioni .....pipeline na resort cities ziko kwa planning stage. ..sisi ni kusema na kutenda
Tanzania air inafanya vizuri sanaKusema na KUIBA. Naikuni na Gunze wameifilisi KQ huenda CEO toka Poland akanyoosha shirika