Naona sikuhizi umebadirisha punchline .mbona huongezi ile punchline yako 'Kenya is a failed state'ππHii ni kutaka kukuthibitishia kwamba, uwezo wa akili wa wakenya ulivyo mdogo sana.Ilemi Triangle belongs to South Sudan, not to Kenya
BY: Molana Deng, USA, Human rights/Criminal Law, MAR/22/2015, SSN; Named after an Anyuak-chief, Ilemi (Elemi), the Triangle piece of land which now is being claimed by Kenya, belongs to South Sudan because of its people, geographically, economically and socially. The imaginary line which are...www.southsudannation.com
cc. Gerald710
Vulcan
Kuna wenzako walinifuata "in box " na kuniomba nisiseme tena kwamba Kenya ni "failed" state, ila kwasababu umeniomba nithibitishe kwamba Kenya ni failed state, nimekubali ombi lako, Soma kwa makini sababu zilizoifanya Kenya kuwa "failed state"Naona sikuhizi umebadirisha punchline .mbona huongezi ile punchline yako 'Kenya is a failed state'[emoji23][emoji23]