Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,147
- 2,008
Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed amesema amefikia makubaliano na kiongozi wa nchi jirani ya Sudan ili kusuluhisha kwa amani mzozo wa mpaka ambao umesababisha mapigano hivi karibuni
Mazungumzo kati ya viongozi hao wawili yanafuatia mapigano katika eneo la mpakani mwezi Juni, ambapo Sudan ilidai kuwa vikosi vya Ethiopia vimewakamata na kuwaua wanajeshi wa Sudan, madai ambayo yamekanushwa na Ethiopia
Waziri Mkuu wa Ethiopia alikutana na kiongozi wa kijeshi wa Sudan, Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, Jiijini Nairobi siku ya Jumanne, baada ya mkutano wa Jumuiya ya Kikanda ya Mamlaka ya Maendeleo ya Kiserikali (IGAD)
.................................................................
Ethiopia’s Prime Minister Abiy Ahmed said he has reached an agreement with the leader of neighbouring Sudan to peacefully settle a border dispute that has led to armed clashes.
The talks between the two leaders follow fighting in a volatile border region last month in which Sudan said that Ethiopian forces had captured and killed Sudanese troops – a claim denied by Addis Ababa.
The Ethiopian premier met Sudan’s military leader, General Abdel Fattah al-Burhan, in Kenya’s capital Nairobi on Tuesday, on the sidelines of a meeting of the Intergovernmental Authority on Development (IGAD), an eight-member regional bloc.
“We have both agreed that our two countries have plenty of collaborative elements to work on peacefully,” Abiy tweeted on Tuesday.
“We both made a commitment for dialogue & peaceful resolution to outstanding issues,” he said.
Burhan said the IGAD meeting gave them an opportunity “to take stock of the response” to challenges in the region, but he did not elaborate.
SOURCE: AL JAZEERA
Mazungumzo kati ya viongozi hao wawili yanafuatia mapigano katika eneo la mpakani mwezi Juni, ambapo Sudan ilidai kuwa vikosi vya Ethiopia vimewakamata na kuwaua wanajeshi wa Sudan, madai ambayo yamekanushwa na Ethiopia
Waziri Mkuu wa Ethiopia alikutana na kiongozi wa kijeshi wa Sudan, Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, Jiijini Nairobi siku ya Jumanne, baada ya mkutano wa Jumuiya ya Kikanda ya Mamlaka ya Maendeleo ya Kiserikali (IGAD)
.................................................................
Ethiopia’s Prime Minister Abiy Ahmed said he has reached an agreement with the leader of neighbouring Sudan to peacefully settle a border dispute that has led to armed clashes.
The talks between the two leaders follow fighting in a volatile border region last month in which Sudan said that Ethiopian forces had captured and killed Sudanese troops – a claim denied by Addis Ababa.
The Ethiopian premier met Sudan’s military leader, General Abdel Fattah al-Burhan, in Kenya’s capital Nairobi on Tuesday, on the sidelines of a meeting of the Intergovernmental Authority on Development (IGAD), an eight-member regional bloc.
“We have both agreed that our two countries have plenty of collaborative elements to work on peacefully,” Abiy tweeted on Tuesday.
“We both made a commitment for dialogue & peaceful resolution to outstanding issues,” he said.
Burhan said the IGAD meeting gave them an opportunity “to take stock of the response” to challenges in the region, but he did not elaborate.
SOURCE: AL JAZEERA