Ethiopia: Serikali na Waasi walaumiana juu ya kukwama kwa mazungumzo ya amani

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Msemaji wa Waasi wa Tigray, Getachew Reda ameishutumu Serikali kwa kudhoofisha juhudi za kutafuta suluhu ya amani kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini humo, baada ya Jeshi la kudaiwa kushambulia vikosi hivyo

Wakati huo huo Msemaji wa Waziri Mkuu Nchini humo, Billene Seyoum, amekanusha shutuma hizo huku akizitaja kama njia ya kuepuka kushiriki mazungumzo ya amani ili kusitisha mapigano nchini humo

......................................................

Billene Seyoum, speaking for Ethiopia’s prime minister, has denied accusations by Tigrayan forces that they were being targeted by federal troops.

On Wednesday, Tigrayan spokesperson Getachew Reda accused the government in Addis Ababa of undermining efforts to find a peaceful solution to the country’s civil war by “taking provocative actions against our forces”.
But speaking to journalists on Thursday Ms Seyoum said the accusations were “deflections” and a way to avoid engaging in peace talks.

Efforts to bring the warring parties together to end the 22-month conflict in Ethiopia’s north have reportedly shown progress in recent months. But in the past few days the two sides have exchanged strong words with the Tigrayan forces accusing the government of deliberately delaying talks.

But Ms Billene said the government is “willing to engage anytime… and come to a conclusive agreement on an immediate ceasefire”

Source: BBC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…