Alice Gisa
Senior Member
- Sep 6, 2014
- 172
- 417
- Thread starter
-
- #221
Kwa hilo la kumtetea hangaya sikuungi mkono aseeUtasikia mtaani wajinga wanakwambia Samia Kashindwa,stupid kqbisa ..Kipimo kikubwa cha kufanikiwa kwa Rais ni Amani na usalama.
Tunafungua viwanda huku Kigamboni,nyie wa Tzn ya viwanda mlijenga vingapi? Au ndio vile vyerehani 😀😀Kwa hilo la kumtetea hangaya sikuungi mkono asee
kwel elimu haina mwisho [emoji23]Tunafungua viwanda huku Kigamboni,nyie wa Tzn ya viwanda mlijenga vingapi? Au ndio vile vyerehani [emoji3][emoji3]
Mzee hayo maneno tu ya kujitetea.tayari miji ya Dessie na kombolcha ishachukuliwa na simba wa vita(bwana Abby).sasa sijui walijipanga kwenye niniMsemaji wa TPLF Bw Gatachew Rada. Ametoa taarifa kua TDF imemealiza kujipanga upya na nashambulizi yameanza upya. Aidha vyanzonvingine pia vinaonesha TDF imeanza kujihama siyo kama siku 7.View attachment 2034859
Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
Kwenye vita propaganda ni silaha muhimu saana mkuu. Nilisikia hata JWTZ ilikuwa inamzingua Idd Amin kuwa vikosi vya nchi mbalimbali vipo nao vitani na wameshaizingira Entebbe. Kumbe hamna loloteMzee hayo maneno tu ya kujitetea.tayari miji ya Dessie na kombolcha ishachukuliwa na simba wa vita(bwana Abby).sasa sijui walijipanga kwenye nini
[emoji23]Kwenye vita propaganda ni silaha muhimu saana mkuu. Nilisikia hata JWTZ ilikuwa inamzingua Idd Amin kuwa vikosi vya nchi mbalimbali vipo nao vitani na wameshaizingira Entebbe. Kumbe hamna lolote
Waliuawa zaidi ya million kwa taarifa yakoDemographical data zinakataa kabisa hiyo hesabu ya watusi laki nane kuuliwa.
Kwa iyo unataka kuniambia kuwa habari ya miji kuchukuliwa ni propaganda?Kwenye vita propaganda ni silaha muhimu saana mkuu. Nilisikia hata JWTZ ilikuwa inamzingua Idd Amin kuwa vikosi vya nchi mbalimbali vipo nao vitani na wameshaizingira Entebbe. Kumbe hamna lolote
Mmmhhhhh[emoji477][emoji477]Waethiopia wanapenda Sana Vita, ndio maana ndo wababe wa kivita Africa nzima
Hakuna mtu wa kumkalisha muethiopia...wasomali wanamjua vizuriMmmhhhhh[emoji477][emoji477]
He he heee[emoji477][emoji477][emoji477][emoji477]Hakuna mtu wa kumkalisha muethiopia...wasomali wanamjua vizuri
Namaanisha hizo tambo za kiongozi wa TPLF mkuu.Kwa iyo unataka kuniambia kuwa habari ya miji kuchukuliwa ni propaganda?
Ww ndo hewaa kabisaaa! Type za kina zzk...kenge kabisaa..umekuja na hasira za kumchukia JPM huku na hujui chochote kuhusu hiyo vita ya ethiopia.Umekosea
1. Abiy ndiye aliyeanza mapigano ya kijeshi.
2.Kwa miaka 500 ya taifa la Ethiopia, watigray wametawala kwa miaka 27 tu.
3.Zenawi melesi mtigray rais aliyepita alifanikiwa kutokomeza njaa, ikumbukwe kabla ya hapo kila mwaka mamia walikufa kwa njaa
4.Chochote cha maana Ethiopia kina mkono wa tigrayans,
5.Watray wameungana na waoromo kabila la Abbiy, sababu ni chuki za Abby kwa yeyote anayehisi yupo juu take.
Viongozi na watu wenye ushawishi wa kabila la promo wamewekwa korokoni na huyo Abby, Jambo ambalo limepelekea hao waoromo kumgeuka Abby.
6. Abby. Anafanana na kiongozi flan ambaye alitaka atukuzwe na awe na influence katika kila sekta.
6.
Hauna hoja, ndio maana unatukana.Ww ndo hewaa kabisaaa! Type za kina zzk...kenge kabisaa..umekuja na hasira za kumchukia JPM huku na hujui chochote kuhusu hiyo vita ya ethiopia.
Kwenda kale mavi ya korokoroni hujuj kitu kenge ww
Hiyo ndio nzuri,Jeshi la Jimbo Ni Muhimu ili kulinda Maslahi ya Jimbo endapo mtawala wa Serikali Kuu atakauja na Chuki zake dhidi ya Jimbo furani.Yaani, Kila Jimbo lina jeshi lake na kila kabila hivyo hivyo... ila watu wengine bhana
kweli kabisa.Heshima ingekuwepoHiyo ndio nzuri,Jeshi la Jimbo Ni Muhimu ili kulinda Maslahi ya Jimbo endapo mtawala wa Serikali Kuu atakauja na Chuki zake dhidi ya Jimbo furani.
Hata hapa Tanzania,kipindi Cha utawala wa awamu ya 5 Kuna Mikoa ilipendelewa Mpaka kufikia hatua wakati wengine Nyumba zao zinabomolewa na Tingatinga Mikoa pendwa hata Vibanda vya mbwa havikubomolewa. Hayo majimbo yaliyobomolewa Nyumba yangelikuwa na Jeshi lao la kuwatetea ukute Nyumba zao Mpaka leo zingelikuwepo.