Sendoro Mbazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 3,329
- 2,169
aaaaawapi, yule ni mhutu wa kigomaNdiyo maana Zito Kabwe anamlalamikia sana Waziri Mkuu wa Ethiopia kuhusu vita, na yeye atakuwa na vinasaba na Watigray
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aaaaawapi, yule ni mhutu wa kigomaNdiyo maana Zito Kabwe anamlalamikia sana Waziri Mkuu wa Ethiopia kuhusu vita, na yeye atakuwa na vinasaba na Watigray
Unaita wengine makafiri kwa imani ya kusimuliwa. Hujawahi kufa ukaona kuna akhera. Hujawahi kuwa na ushahidi wowote wa kuthibitika kuwa ulivyofundishwa ni kweli, yet unawaita wengine makafiri, unawachukia. Jiangalie tena ndugu kama unachofanya ni sawa.
Fikiria tena na tena bila mihemko, una uhakika wa asilimia 100 kuwa unachoamini ni sahihi? Je umewahi kuwa na uthibitisho wako binafsi, sio wa kuhadithiwa au kufundishwa kwamba unachoamini ni sawa asilimia mia moja? Je ukifa leo (Mungu akupe maisha marefu) ukakuta yote uliyoamini sio sahihi, utafanya nini?
Ni changamoto yangu kwako, kabla hujawaita wengine makafiri, basi uwe na uhakika moyoni mwako kuwa unachoamini ni sawa asilimia 100. Vinginevyo ukiwa hauko sawa utajibu mbele ya Mungu kuwaita viumbe wake makafiri!
Turudi kwenye uzi wa ENDF na TPLF/TDF
Mkuu nadhani unaelewela lengo la huu uzi,hizi mambo za dini fungua uzi wakoUislamu umejengwa kwa mihimili mikuu kutoka katika Qur-aan na Sunnah ya Bwana wetu Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam). Yeyote anayefuata nje ya mfumo huu basi atawajibika kueleza ni kwa nini alifanya hivyo. Kauli za Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) zinathibitisha:
{{Bila shaka Dini (ya haki) mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na waliopewa Kitabu (Mayahudi na Manaswara) hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ilimu. (Walikhitalifiana) kwa sababu ya uhasidi uliokuwa baina yao. Na anayezikataa Aya za Mwenyezi Mungu (Mwenyezi Mungu Atamuadhibu huko Akhera), na Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.}}
[Suratu al-'Imraan: 19]
{{Na anayetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu basi haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye khasara (kubwa kabisa).}}
[Suratu al-'Imraan: 85]
{{Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na kukutimizieni neema Yangu, na Nimekupendeleeni Uislamu uwe Dini yenu.}} [Surratu al-Maaidah: 3]
Ulilishwa matango poli wale waliuana na ndio maana mshindi alibakia kuwa mtutsi , mtutsi waliposhinda wakajiandikia story za kupumbaza ulimwengu ila ukweli watutsi walitungua ndege na wakamuua rais wa kihutu hivyo wahutu wakajibu mapigo ( hapa walikosea ) na vita ikaanza mwanzoni watutsi walielemewa ( hiki kipande cha stori ndo wanakitumia watutsi kudanganya ulimwengu ) kisha baadae vita ikabalance na hatimaye watutsi wakashinda na kuichukua nchiWahutu waliwaua watusi na sio watusi waliwaua wahutu, unakijua unachoandika kweli?
Sawa boss, kwa sababu una uhakika haya ni maneno na maagizo ya Mungu, hakuna shida. Endelea kuita wengine makafiri, hata kuwachukia. Ila jua tu kama hauko sahihi utakuwa na la kujibu mbele za Mungu. You better be right or ready.Uislamu umejengwa kwa mihimili mikuu kutoka katika Qur-aan na Sunnah ya Bwana wetu Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam). Yeyote anayefuata nje ya mfumo huu basi atawajibika kueleza ni kwa nini alifanya hivyo. Kauli za Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) zinathibitisha:
{{Bila shaka Dini (ya haki) mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na waliopewa Kitabu (Mayahudi na Manaswara) hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ilimu. (Walikhitalifiana) kwa sababu ya uhasidi uliokuwa baina yao. Na anayezikataa Aya za Mwenyezi Mungu (Mwenyezi Mungu Atamuadhibu huko Akhera), na Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.}}
[Suratu al-'Imraan: 19]
{{Na anayetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu basi haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye khasara (kubwa kabisa).}}
[Suratu al-'Imraan: 85]
{{Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na kukutimizieni neema Yangu, na Nimekupendeleeni Uislamu uwe Dini yenu.}} [Surratu al-Maaidah: 3]
[emoji23]Wakuu tunataka updates za nani kakatwa sikio huko nani kavunjwa mguu ,humu kumekua na tabia ya hovyo kabisa ya kubadilisha mada mara ghafla watu waingize ccm mara chadema mara tozo hii ni updates ya huko uwanja wa mapambano alaaah
Sawa boss, kwa sababu una uhakika haya ni maneno na maagizo ya Mungu, hakuna shida. Endelea kuita wengine makafiri, hata kuwachukia. Ila jua tu kama hauko sahihi utakuwa na la kujibu mbele za Mungu. You better be right or ready.
Tuachane na hizo mambo tubakie kwa ENDF na TDF!
Kwa sensa ya mwaka 1994,palikua na watusi laki 8 tu rwanda,waliouwawa tunaambiwa ni watu milioni moja,wengi watusi na wachache wahutu wenye msimamo wa wastani,Kama waliouwawa wengi ni watusi,Hawa watusi wa Leo rwanda wametoka wapi?..hao waliouwawa ni kabila gani!?Wahutu waliwaua watusi na sio watusi waliwaua wahutu, unakijua unachoandika kweli?
Usione ni neno baya neno kafiri,ni kiarabu ikimaanisha mpingaji,kwa muktadha wa uislam ni mtu anayepinga uungu wa mwenyezi mungu,usichukue maana ya makaburu wa afrika kusini walivowaita watu weusi,chadema ni kafiri kwa ccm na ccm ni kafiri kwa chadema,Protestant(protest) ni kafiri kwa romaSawa boss, kwa sababu una uhakika haya ni maneno na maagizo ya Mungu, hakuna shida. Endelea kuita wengine makafiri, hata kuwachukia. Ila jua tu kama hauko sahihi utakuwa na la kujibu mbele za Mungu. You better be right or ready.
Tuachane na hizo mambo tubakie kwa ENDF na TDF!
Utasikia mtaani wajinga wanakwambia Samia Kashindwa,stupid kqbisa ..Kipimo kikubwa cha kufanikiwa kwa Rais ni Amani na usalama.Aisee Vita si Mchezo washkaji
Mkuu Kafiri maana yake nini, sababu wakati mwingine watu hupanic kwa kitu wasichoelewa maana yakeDini yenyewe ya Mwarabu hiyo halafu unawaita watu makafikiri.
Huwezi kuswali bila kutumia lugha ya kiarabu na mungu wao anasikia lugha moja tu ya kiarabu. Kazi kwako
Kumbe wahutu ndio walitungua ndege ya raisi aliekuwa muhutu!!!Wahutu waliwaua watusi na sio watusi waliwaua wahutu, unakijua unachoandika kweli?
Basi sawa, tuendelee na kujifunza kutoka vita ya ENDF na TDF. Maana vita si kama Simba na Yanga. Ni jambo baya na la kutisha!Mkuu,,makafiri ni "wasiyokuwa waisilamu". Na uisilamu umetufundisha kupenda hata asiye muisilamu, ivyo mimi siwachukii bali nachukia matendo yao kwa waisilamu na wasiyokuwa waisilamu.
Amani ya nchi haitunzwi na Rais, Samia or any other. Amani ya nchi hii ni zawadi tu Mungu ametupa!Utasikia mtaani wajinga wanakwambia Samia Kashindwa,stupid kqbisa ..Kipimo kikubwa cha kufanikiwa kwa Rais ni Amani na usalama.
Kwa hiyo huko kwingine hakuna Mungu sio? Marais wetu waliopita na waliopo wanafanya Kazi kubwa kwa kushirikiana na vyombo.Amani ya nchi haitunzwi na Rais, Samia or any other. Amani ya nchi hii ni zawadi tu Mungu ametupa!
Tusijisahau tukampa mwanadamu heshima kwa kitu ambacho kimsingi ni Neema ya Mungu tu!
Basi sawa, tuendelee na kujifunza kutoka vita ya ENDF na TDF. Maana vita si kama Simba na Yanga. Ni jambo baya na la kutisha!