Ethiopia: Updates on war against TPLF

Ethiopia: Updates on war against TPLF

Unaita wengine makafiri kwa imani ya kusimuliwa. Hujawahi kufa ukaona kuna akhera. Hujawahi kuwa na ushahidi wowote wa kuthibitika kuwa ulivyofundishwa ni kweli, yet unawaita wengine makafiri, unawachukia. Jiangalie tena ndugu kama unachofanya ni sawa.

Fikiria tena na tena bila mihemko, una uhakika wa asilimia 100 kuwa unachoamini ni sahihi? Je umewahi kuwa na uthibitisho wako binafsi, sio wa kuhadithiwa au kufundishwa kwamba unachoamini ni sawa asilimia mia moja? Je ukifa leo (Mungu akupe maisha marefu) ukakuta yote uliyoamini sio sahihi, utafanya nini?

Ni changamoto yangu kwako, kabla hujawaita wengine makafiri, basi uwe na uhakika moyoni mwako kuwa unachoamini ni sawa asilimia 100. Vinginevyo ukiwa hauko sawa utajibu mbele ya Mungu kuwaita viumbe wake makafiri!

Turudi kwenye uzi wa ENDF na TPLF/TDF

Uislamu umejengwa kwa mihimili mikuu kutoka katika Qur-aan na Sunnah ya Bwana wetu Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam). Yeyote anayefuata nje ya mfumo huu basi atawajibika kueleza ni kwa nini alifanya hivyo. Kauli za Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) zinathibitisha:



{{Bila shaka Dini (ya haki) mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na waliopewa Kitabu (Mayahudi na Manaswara) hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ilimu. (Walikhitalifiana) kwa sababu ya uhasidi uliokuwa baina yao. Na anayezikataa Aya za Mwenyezi Mungu (Mwenyezi Mungu Atamuadhibu huko Akhera), na Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.}}

[Suratu al-'Imraan: 19]



{{Na anayetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu basi haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye khasara (kubwa kabisa).}}

[Suratu al-'Imraan: 85]



{{Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na kukutimizieni neema Yangu, na Nimekupendeleeni Uislamu uwe Dini yenu.}} [Surratu al-Maaidah: 3]
 
Uislamu umejengwa kwa mihimili mikuu kutoka katika Qur-aan na Sunnah ya Bwana wetu Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam). Yeyote anayefuata nje ya mfumo huu basi atawajibika kueleza ni kwa nini alifanya hivyo. Kauli za Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) zinathibitisha:



{{Bila shaka Dini (ya haki) mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na waliopewa Kitabu (Mayahudi na Manaswara) hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ilimu. (Walikhitalifiana) kwa sababu ya uhasidi uliokuwa baina yao. Na anayezikataa Aya za Mwenyezi Mungu (Mwenyezi Mungu Atamuadhibu huko Akhera), na Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.}}

[Suratu al-'Imraan: 19]



{{Na anayetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu basi haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye khasara (kubwa kabisa).}}

[Suratu al-'Imraan: 85]



{{Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na kukutimizieni neema Yangu, na Nimekupendeleeni Uislamu uwe Dini yenu.}} [Surratu al-Maaidah: 3]
Mkuu nadhani unaelewela lengo la huu uzi,hizi mambo za dini fungua uzi wako
 
Wahutu waliwaua watusi na sio watusi waliwaua wahutu, unakijua unachoandika kweli?
Ulilishwa matango poli wale waliuana na ndio maana mshindi alibakia kuwa mtutsi , mtutsi waliposhinda wakajiandikia story za kupumbaza ulimwengu ila ukweli watutsi walitungua ndege na wakamuua rais wa kihutu hivyo wahutu wakajibu mapigo ( hapa walikosea ) na vita ikaanza mwanzoni watutsi walielemewa ( hiki kipande cha stori ndo wanakitumia watutsi kudanganya ulimwengu ) kisha baadae vita ikabalance na hatimaye watutsi wakashinda na kuichukua nchi
 

Chitiva

HAPANA
Ukweli ni kuwa Watutsi ndio waliowaua wahutu na Watwa
Watutsi walianzisha Jeshi la rpf ndani ya Uganda kuja kuuondoa utawala wa kuchaguliwa wa Habyarimana
Watutsi ndio waliidungua ndege ya Rais
 
Uislamu umejengwa kwa mihimili mikuu kutoka katika Qur-aan na Sunnah ya Bwana wetu Muhammad (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam). Yeyote anayefuata nje ya mfumo huu basi atawajibika kueleza ni kwa nini alifanya hivyo. Kauli za Allaah (Subhaanahu wa Ta’ala) zinathibitisha:



{{Bila shaka Dini (ya haki) mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na waliopewa Kitabu (Mayahudi na Manaswara) hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ilimu. (Walikhitalifiana) kwa sababu ya uhasidi uliokuwa baina yao. Na anayezikataa Aya za Mwenyezi Mungu (Mwenyezi Mungu Atamuadhibu huko Akhera), na Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.}}

[Suratu al-'Imraan: 19]



{{Na anayetaka dini isiyokuwa ya Kiislamu basi haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye khasara (kubwa kabisa).}}

[Suratu al-'Imraan: 85]



{{Leo Nimekukamilishieni Dini yenu, na kukutimizieni neema Yangu, na Nimekupendeleeni Uislamu uwe Dini yenu.}} [Surratu al-Maaidah: 3]
Sawa boss, kwa sababu una uhakika haya ni maneno na maagizo ya Mungu, hakuna shida. Endelea kuita wengine makafiri, hata kuwachukia. Ila jua tu kama hauko sahihi utakuwa na la kujibu mbele za Mungu. You better be right or ready.

Tuachane na hizo mambo tubakie kwa ENDF na TDF!
 
Ethiopia's military this week regained control of territory previously claimed by Tigrayan rebels, a potential validation of Prime Minister Abiy Ahmed's decision to join soldiers to conflict-hit areas.

Yet how the government scored its wins and what they mean for an eventual outcome in the year-old war remain points of fierce debate as fighting enters a new, uncertain phase.

Just a month ago, the Tigray People's Liberation Front (TPLF) rebel group appeared to be on the offensive, claiming to have captured Dessie and Kombolcha, towns on a key highway headed towards the capital Addis Ababa.

 
Wakuu tunataka updates za nani kakatwa sikio huko nani kavunjwa mguu ,humu kumekua na tabia ya hovyo kabisa ya kubadilisha mada mara ghafla watu waingize ccm mara chadema mara tozo hii ni updates ya huko uwanja wa mapambano alaaah
[emoji23]
 
Sawa boss, kwa sababu una uhakika haya ni maneno na maagizo ya Mungu, hakuna shida. Endelea kuita wengine makafiri, hata kuwachukia. Ila jua tu kama hauko sahihi utakuwa na la kujibu mbele za Mungu. You better be right or ready.

Tuachane na hizo mambo tubakie kwa ENDF na TDF!

Mkuu,,makafiri ni "wasiyokuwa waisilamu". Na uisilamu umetufundisha kupenda hata asiye muisilamu, ivyo mimi siwachukii bali nachukia matendo yao kwa waisilamu na wasiyokuwa waisilamu.
 
Wahutu waliwaua watusi na sio watusi waliwaua wahutu, unakijua unachoandika kweli?
Kwa sensa ya mwaka 1994,palikua na watusi laki 8 tu rwanda,waliouwawa tunaambiwa ni watu milioni moja,wengi watusi na wachache wahutu wenye msimamo wa wastani,Kama waliouwawa wengi ni watusi,Hawa watusi wa Leo rwanda wametoka wapi?..hao waliouwawa ni kabila gani!?
 
Sawa boss, kwa sababu una uhakika haya ni maneno na maagizo ya Mungu, hakuna shida. Endelea kuita wengine makafiri, hata kuwachukia. Ila jua tu kama hauko sahihi utakuwa na la kujibu mbele za Mungu. You better be right or ready.

Tuachane na hizo mambo tubakie kwa ENDF na TDF!
Usione ni neno baya neno kafiri,ni kiarabu ikimaanisha mpingaji,kwa muktadha wa uislam ni mtu anayepinga uungu wa mwenyezi mungu,usichukue maana ya makaburu wa afrika kusini walivowaita watu weusi,chadema ni kafiri kwa ccm na ccm ni kafiri kwa chadema,Protestant(protest) ni kafiri kwa roma
 
Mkuu,,makafiri ni "wasiyokuwa waisilamu". Na uisilamu umetufundisha kupenda hata asiye muisilamu, ivyo mimi siwachukii bali nachukia matendo yao kwa waisilamu na wasiyokuwa waisilamu.
Basi sawa, tuendelee na kujifunza kutoka vita ya ENDF na TDF. Maana vita si kama Simba na Yanga. Ni jambo baya na la kutisha!
 
Utasikia mtaani wajinga wanakwambia Samia Kashindwa,stupid kqbisa ..Kipimo kikubwa cha kufanikiwa kwa Rais ni Amani na usalama.
Amani ya nchi haitunzwi na Rais, Samia or any other. Amani ya nchi hii ni zawadi tu Mungu ametupa!
Tusijisahau tukampa mwanadamu heshima kwa kitu ambacho kimsingi ni Neema ya Mungu tu!
 
Kuhusu Bendera. Ethiopia kila Jimbo/kabila lina Bendera yake. Pia Kuna Bendera ya Taifa. Bendera zote za majimbo na Taifa zina rangi kuu tatu. Nyekundu, njano na kijani. Ila kunayongeza ya rangi kwa baadhi ya Bendera hasa blue ama nyeusi.

Hii ni Bendera ya wa Amhara. Maana yake Hilo jeshi ni la Jimbo la Amhara.

Ntawaletea Bendera zaidi
IMG_20211204_223216.jpg


Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom