Update.
Mapigano yamekoma majimbo ya Afar na Amhara. Yanaendelea majimbo ya Oromia na Tigray hasa Magharibi.
Hivyo Waasi wa TPLF wamepoteza Nusu ya maeneo yao kwa siku kumi za mapigano sasa
Kwa Kasi hii kufika tarehe 15 December vita Baki yankuviziana hasa maeneo ya Tigray ila miji yote itakua kichibya Jeshi la Serikali
PM Abiy anawajibu mmoja mkubwa sana wa kuhakikisha wapiganaji wa Afar na Amhara hawalipizi kisasi.
Maana inaonekana wa Tigray wamefanya maauji makubwa Afar na Amhara.
Sent from my Lenovo L38111 using
JamiiForums mobile app