😂😂😂😂Acha watu wakatengenezwe Matako pale Ml9ganzila, huo ndiyo uwekezaji mwepesi kwa zaidi kwa watanzania na serikali yao.
Niliwahi kuandika hivi:Nchi ya Ethiopia hawana bahari wanaomba Somalia wawape hata tu 20 km ya ufukwe na kila kitu kitabadilika vs Tanzania tuna zaidi ya 1500 km coast line kutoka tangagiza mpaka Mtwara ni bahari tupu lkn ni uchuuzi tu wa kuleta imports ktk China na kujenga fremu za GSM & co. uchumi wote bazaar tu hakuna cha maana, tatizo ni nini ?
View attachment 2864418
Ethiopia wanashindwaje kuivamia Djibouti wapate free entry ya port!! Kama Russia kavamia Ukraine na Israel kamvamia Gaza basi naye aivamie tu maana dunia kwa sasa ni survival of the fittest.Nchi ya Ethiopia hawana bahari wanaomba Somalia wawape hata tu 20 km ya ufukwe na kila kitu kitabadilika vs Tanzania tuna zaidi ya 1500 km coast line kutoka tangagiza mpaka Mtwara ni bahari tupu lkn ni uchuuzi tu wa kuleta imports ktk China na kujenga fremu za GSM & co. uchumi wote bazaar tu hakuna cha maana, tatizo ni nini ?
View attachment 2864418
Kwani Misri mwenye Gaza yake ameilalamikia Israel?Ethiopia wanashindwaje kuivamia Djibouti wapate free entry ya port!! Kama Russia kavamia Ukraine na Israel kamvamia Gaza basi naye aivamie tu maana dunia kwa sasa ni survival of the fittest.
Tuna fukwe ndefu, je ukiwapa jirani 20km wajenge then mgawane mapato nusu kwa nusu kuna ubaya gani?
Ethiopia apigane vita ajimegee tu no way out!
Nini hasa unajaribu kusema!? Ethiopia ameingia makubaliano na Somaliland..Unajua tofauti ya Somalia na Somaliland? Umewahi kusikia kitu kinaitwa Geopolitics? Sijui niendele?
Hatusemi unagawa tunasema unakaribisha uwekezaji wenye maslahi mapana,na tija sometime kunakuwa na miradi ambayo serekali haiwezi kuitelekeza si mbaya mwingine akawekeza kwa maelewano maalumu, mbona wapo wanaochimba dhahabu na tunaambulia kiduchu mno aibu.hakuna mtu anayegawa ufukwe kwa maana kila ufukwe una matumizi ya kiuchumi sasa ukiona haujui nini cha kufanya na ufukwe hadi ufikirie hata kuugawa kwa foreigners wakati you live in absolute poverty ujue una low IQ na haitoshi ku solve problems …
Kenya Wana pwani ndefu tu, Africa yote imezungukwa na BAHARI...Ukosefu wa "Rasilimali Akili Nzuri" ndio tatizo kubwa zaidi kwa nchi ya Tz. Yaani kama vile 'upele umeota kwa mtu asiye na kucha' ambaye hawezi kujikuna.
Hivi Somaliland inatambulika AU na UN?Nini hasa unajaribu kusema!? Ethiopia ameingia makubaliano na Somaliland..
Siasa za Cold War lakini pia mfumo wa federal states unawapa autonomy majimbo hivyo inakua rahisi kujitenga au kuanzisha vita vya kujitenga. Hata Ogaden ilitaka kujitenga ijiunge somalia ila wakashindwa vitaEthiopia na Eritrea walikuwa nchi moja sijui waligombea Nini wakawa kama Sudan kusini na kaskazini
Misri na Gaza wapi na wapi? Hao Israel waliwahi chukua Sinai (Misri) ila baada ya pressure kubwa ya mataifa mbalimbali ikabidi waiachie otherwise leo hii misri wangeporwa ardhi kibao.Kwani Misri mwenye Gaza yake ameilalamikia Israel?