Ethiopia wanaomba hata kilomita 20 tu za ufukwe, Tanzania tuna zaidi ya kilomita 1500 lakini hakuna cha maana. Shida ni nini?

Ethiopia wanaomba hata kilomita 20 tu za ufukwe, Tanzania tuna zaidi ya kilomita 1500 lakini hakuna cha maana. Shida ni nini?

JPM hakuwa perfect, lakini amefanya mambo mengi ya msingi kulisaidia taifa, vitu ambavyo watu walifikiri haviwezekana. Angalia nchi ilipokuwa 2015.

Alifanya vitu kama :-Umeme wa uhakika, maji, tunapata share yetu kwenye madini, Elimu bure, kukamilisha Terminal three, vituo vya afya nchi nzima, SGR, Bwala la Nyerere, barabara ya Kimara, barabara nchi nzima. Nidhamu serikalini, kupunguza ukiritimba rushwa, upigaji wa miradi,Madaraja nchi nzima, ukarabati wa meli na kununua meli mpya katika maziwa mbalimbali.

Alijaribu kuhimiza uchapakazi, kukemea rushwa, wizi, ufisadi, udini. Mafisadi wengi aliwabana ila ni kweli hakuwamaliza wote.

Alijaribu kuhimiza nchi kuwa na mentality na attitude ya kujitegemea badala ya kuombaomba. Aliwahimiza Watanzania wajiamini na kutembea kifua mbele. Aliweka misingi thabiti ili kujenga nchi imara.
Sikubaliani na kauli zako. Hii ni nchi ya kidemokrasia, udikteta wa Magufuli ulikuwa hauna nafasi na ndiyo maana alikufa mapema kwa uwongo aliokuwa anawalisha, kuwapeleka rumande wale aliokuwa hawapendi, kunyang'anya fedha za wafanya biashara na kuua wakosoaji.

Kama alikuwa anataka kututawalq KIDIKTETA basi alipaswa awe amepindua nchi kama akina Kagame na Museveni, lakini yeye alikuja kwa sanduku la kura.

Huwezi kuja kwa sanduku la kura halafu ukataka kutawala KIDIKTETA NO, lazima na wewe ufe
 
Ethiopia na Eritrea walikuwa nchi moja sijui waligombea Nini wakawa kama Sudan kusini na kaskazini
Ethiopia inahangaika sana, na bado haielewi iishi vipi na jirani zake. Kimsingi wameonyesha udhaifu mkubwa sana, kwani mtaka yote hukosa yote.

Hivi, kuishi bila bahari unakuwa nchi pungufu? Nawasihi Ethiopia kutumia diplomasia nzuri na majirani zake, vinginevyo nchi hiyo kubwa itakuwa kama ile Yugoslavia iliyopotea katika ramani ya dunia.
 
JPM hakuwa perfect, lakini amefanya mambo mengi ya msingi kulisaidia taifa, vitu ambavyo watu walifikiri haviwezekana. Angalia nchi ilipokuwa 2015.

Alifanya vitu kama :-Umeme wa uhakika, maji, tunapata share yetu kwenye madini, Elimu bure, kukamilisha Terminal three, vituo vya afya nchi nzima, SGR, Bwala la Nyerere, barabara ya Kimara, barabara nchi nzima. Nidhamu serikalini, kupunguza ukiritimba rushwa, upigaji wa miradi,Madaraja nchi nzima, ukarabati wa meli na kununua meli mpya katika maziwa mbalimbali.

Alijaribu kuhimiza uchapakazi, kukemea rushwa, wizi, ufisadi, udini. Mafisadi wengi aliwabana ila ni kweli hakuwamaliza wote.

Alijaribu kuhimiza nchi kuwa na mentality na attitude ya kujitegemea badala ya kuombaomba. Aliwahimiza Watanzania wajiamini na kutembea kifua mbele. Aliweka misingi thabiti ili kujenga nchi imara.
Ila kwa kuwa nchi ilikuwa haiyajui haya mambo aliyokuwa anahimiza
Wao waliona kama anawakomoa
Laiti angekuwa na watu kumi wa kaliba yake sawa
Ila walikuwa wanamsanifu tu na kucheza ngoma anayotaka
Angeyafunga majizi ya na wabadhirifu miaka hata 50 sawa
Ila aliwaangalia na kuwabadili na au kuwafukuza tu
Nchi inataka iende kwa maadili na kazi kwa wote
Katiba na sheria zilikanyagwa na chache kufuatwa
Ila alijitahidi sana kwa nafasi yake akijua kuna wanafiki na wanaomlia timing kumuuwa
Alikuwa anasisitiza sana kuombewa akijua ni kazi nzito
Lakini angekuwa na watu wa speed yake wa kweli bila wizi na uuwaji tungesogea mbali

Nimekuelewa sana mkuu
Kuendesha nchi inataka maarifa makubwa sana na akili ya ziada
 
Watanzania bado tina fikra za ujamaa na kila wakati tunahisi muwekezaji ni mwizi.

Kama sio Samia kuwa bold, uwekezaji bandarini usingefanyika. Bado Bagamoyo, kidogo watu watoane roho kwa ten pasent, msukuma kachukua hela kaenda kujenga bandari Nyamirembe,Chato, na hakuna meli iliyowahi kufika tangu bandari iishe.

Morogoro ilitajwa kama moja ya mikoa inayoweza kulisha taifa, who cares kuja na mkakati maalum?

Karafuu inalimika baadhi ya mikoa ya nchi yetu huku bara, walio serious ni zanzibar tu!

Parachichi biashara kubwa sana, lakini huoni commitment ya serikali hata kuweka miundombinu ya maghala yenye mafriji maalum ya kuyatunza.

Tanga wana machungwa na machenza, who cares?

Kagera, Mbeya, Kilomanjaro wana ndizi, who cares to make the business go international?

Zabibu Dodoma? Mahindi tele Katavi na Rukwa
Wewe mkuu una kitu,naamini kimaisha uko mbali kidogo.
 
Watanzania bado tina fikra za ujamaa na kila wakati tunahisi muwekezaji ni mwizi.

Kama sio Samia kuwa bold, uwekezaji bandarini usingefanyika. Bado Bagamoyo, kidogo watu watoane roho kwa ten pasent, msukuma kachukua hela kaenda kujenga bandari Nyamirembe,Chato, na hakuna meli iliyowahi kufika tangu bandari iishe.

Morogoro ilitajwa kama moja ya mikoa inayoweza kulisha taifa, who cares kuja na mkakati maalum?

Karafuu inalimika baadhi ya mikoa ya nchi yetu huku bara, walio serious ni zanzibar tu!

Parachichi biashara kubwa sana, lakini huoni commitment ya serikali hata kuweka miundombinu ya maghala yenye mafriji maalum ya kuyatunza.

Tanga wana machungwa na machenza, who cares?

Kagera, Mbeya, Kilomanjaro wana ndizi, who cares to make the business go international?

Zabibu Dodoma? Mahindi tele Katavi na Rukwa
Umeandika kama Bashe kabla hajawa waziri wa kilimo lakini baada ya kuwa waziri alichokileta ni BBT mradi wa kiupigaji

Tangu awamu ya kwanza wawekezaji wamekuepo tatizo ni aina ya mikataba na ata huu mkataba wa bandari kuna siku tutaona Madudu yake
Serikali ya CCM kwa asilimia kubwa mikataba inayoingia na wawekezaji aina manufaa kwa taifa letu mingi ni ya kifisadi
 
Nchi ya Ethiopia hawana bahari wanaomba Somalia wawape hata tu 20 km ya ufukwe na kila kitu kitabadilika vs Tanzania tuna zaidi ya 1500 km coast line kutoka tangagiza mpaka Mtwara ni bahari tupu lkn ni uchuuzi tu wa kuleta imports ktk China na kujenga fremu za GSM & co. uchumi wote bazaar tu hakuna cha maana, tatizo ni nini?

CCM,CCM,CCM,CCM.
 
Back
Top Bottom