Ethiopia: Waziri Mkuu Abiy Ahmed atangaza hali ya dharura nchini kote

Ethiopia: Waziri Mkuu Abiy Ahmed atangaza hali ya dharura nchini kote

MTZ 255Dar

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2018
Posts
1,149
Reaction score
3,963
Waziri Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ametangaza Hali ya hatari nchini kote Ethiopia, hii ni baada ya wapiganaji wa Jimbo la Tigray wa TPLF kuteka miji miwili ya Dessie na Kombolcha iliyoko Katika Jimbo jirani la Ahmara.

Waasi hao wa Kaskazini mwa Ethiopia ambao wamekuwa wakipigana na vikosi vya SERIKALI kuu ya Addis Ababa kwa mwaka Mmoja Sasa, wanaonesha Nia ya dhati ya kuanza kuushambulia mji mkuu wa Nchi hiyo wa Addis Ababa. Lakini SERIKALI ya Ethipia imesema kuwa bado vikosi vyake vinapambana na wapiganaji hao.

Waziri Mkuu huyo amewataka Raia wote wa Nchi hiyo ambao wanamiliki Siraha Kinyume Cha sheria wazisajiri Siraha zao ndani ya mda wa siku mbili ili kujiandaa kuulinda mji mkuu wa Addis Ababa.

Waasi hao wa TPLF wameungwa mkono na Wapiganaji wa jimbo la Oromo ambao wameonesha Nia ya kumuondoa Waziri Mkuu huyo Madarakani

Msemaji wa TPLF amesema kuwa,Nia yao haikuwa kupigana na vikosi vya SERIKALI nje ya Jimbo lao la Tigray, lakini kutokana na Mzingiro uliwekwa na Serikali ya Addis Ababa dhidi ya Jimbo Hilo umesababisha Ukosefu wa huduma mhimu za kijamii Katika Jimbo Hilo kitu ambao TPLF haiwezi kukubali kuona Wananchi wa Jimbo Hilo wakihangaika kwa kukosa Chakula, Maji na Madawa.
 
Mmoja wa Raia wa Jimbo la Ahmara akiwa na Siraha yake ambayo haijasajiriwa kihalali.View attachment 1996121
Screenshot_20211102-190400.jpg


Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Je ni kweli Mkono wa taifa la Egypt unaanza kuzaa matunda kufuatia mazungumzo juu ya uhalali wa serikali ya Ethiopia kujenga bwawa kubwa la umeme ktk mto mmojawapo unaotiririsha maji ktk mto Nile ambao ni roho ya sekta ya kilimo cha Egypt. Mzozo ambao Ethiopia kupitia serikali zilizokuwepo Ethiopia kupuuza malalamiko ya Egypt kuwa mkataba wa matumizi sahihi ya maji baina ya Ethiopia , Sudan, Egypt, Tanzania, Uganda wa mwaka 1929 umepuuzwa na Ethiopia hivyo kuhatarisha uwepo wa taifa la Egypt.
THE 1929 NILE WATERS AGREEMENT:


This agreement was signed between Egypt and Great Britain, which represented at the time Uganda, Kenya, Tanganyika (now Tanzania) and Sudan. The document gave Cairo the right to veto projects higher up the Nile that would affect its water share

 
,[emoji83]Western "White piggs" they normally don't want to see any African country inapiga hatua kubwa za kimaendeleo
Swala la nishati ya umeme lilikuwa linaenda kuwa historia kutokana na ujenzi mkubwa unaoendelea wa bwawa la Ethiopia (Grand Ethiopian Renaissance Dam).
 
Huu mradi haukuwa na shida yoyote ya maji mto naili kwa nchi ya Egypt,. Ni figisu za nchi za magharibi. Fuatilia kwa kina utanielewa nisemacho.
Je ni kweli Mkono wa taifa la Egypt unaanza kuzaa matunda kufuatia mazungumzo juu ya uhalali wa serikali ya Ethiopia kujenga bwawa kubwa la umeme ktk mto mmojawapo unaotiririsha maji ktk mto Nile ambao ni roho ya sekta ya kilimo cha Egypt. Mzozo ambao Ethiopia kupitia serikali zilizokuwepo Ethiopia kupuuza malalamiko ya Egypt kuwa mkataba wa matumizi sahihi ya maji baina ya Ethiopia , Sudan, Egypt, Tanzania, Uganda wa mwaka 1929 umepuuzwa na Ethiopia hivyo kuhatarisha uwepo wa taifa la Egypt.


 
The New York Times

Mr. Abiy is also engaged in a high-profile standoff with Sudan and Egypt over a hydroelectric dam that Ethiopia is building on the Blue Nile, which will be the largest in Africa when completed.
 
Namuonea huruma abbiy Ahmed alianza vizuri ...uongozi Africa ni kitu kigumu Sana...na pia alikuwa ni mtu wa haki ukiwa mtu wa haki hauwezi kudumu mfano magufuli.ghadafi...wenye nguvu duniani hawataki kuona viongozi wapenda haki na wenye maono mazuri wanataka viongozi wababaishaji ukiwa mkweli na mpenda haki ..Kuna raisi alikuwa wa Zambia alikuwa anaitwa Michael sata naye hakudumu ..Kuna mawili la ufe kabla ya wakati au utapata misukosuko ya Vita ...pole Sana abbiy Ahmed nakushauri kimbia mapema maana yake kifo chako hakipo mbali ..kimbia usife kijana...ghadafi aliambiwa akapuuzia matokeo yake Yuko kwenye udongo Sasa hivi ....kimbia ikiwezekana hata kesho...
 
Namuonea huruma abbiy Ahmed alianza vizuri ...uongozi Africa ni kitu kigumu Sana...na pia alikuwa ni mtu wa haki ukiwa mtu wa haki hauwezi kudumu mfano magufuli.ghadafi...wenye nguvu duniani hawataki kuona viongozi wapenda haki na wenye maono mazuri wanataka viongozi wababaishaji ukiwa mkweli na mpenda haki ..Kuna raisi alikuwa wa Zambia alikuwa anaitwa Michael sata naye hakudumu ..Kuna mawili la ufe kabla ya wakati au utapata misukosuko ya Vita ...pole Sana abbiy Ahmed nakushauri kimbia mapema maana yake kifo chako hakipo mbali ..kimbia usife kijana...ghadafi aliambiwa akapuuzia matokeo yake Yuko kwenye udongo Sasa hivi ....kimbia ikiwezekana hata kesho...
Tuache masihara jamani.
Hivi Magufuli alikuwa mtu wa haki?
Ni nani alimuondoa Magufuli madarakani?
Ni tatizo lake la moyo au Covid au njama za mabeberu?
 
Tuache masihara jamani.
Hivi Magufuli alikuwa mtu wa haki?
Ni nani alimuondoa Magufuli madarakani?
Ni tatizo lake la moyo au Covid au njama za mabeberu?
Unatumia tu akili bila ushabiki kwaba ni kweli JPM alikua mtu wa haki,hakupenda mali za waTanzania ziende hovyo na alidili na wananchi wanaounga mkono udhalimu wa mabeberu, hao ndiyo wanaoaminisha kwamba JPM hakua mtu wa haki kwa sababu walibanwa,walikua wanaiuza nchi na waliokua wanafaya biashara walikua wakipora kodi ya serikali

Watu msiwe mnaishia ushabiki tu bila kufikiri kwa makini

Rais anakufa kama mwananchi masikini wa kawaida ulisha ona wapi
 
Watu walionya sana PM kuanzisha vita Tigray sasa mambo yamekua mahumu hadi Adis Ababa...sasa ni rasmi ni suala la muda tuu Ethiopoa itakua haitawaliki tena
PM ni fala tu, Tigray walishaasi kwahiyo uamuzi wake wa kuingia makao makuu yao Mekele na kuliweka lile jimbo chini ya jeshi la serikali kuu ulikuwa uamuzi sahihi sana shida ni kwamba baadae akalitoa jeshi Mekele baada ya kelele za haki za binadamu kuanza na hiyo ikawapa nafasi TPF kujitanua hadi sasa wanampumulia mlangoni hajui cha kufanya. Binafsi naona uamuzi wa kutoka Mekele ulikuwa ni wa kipumbavu sababu huwezi kuleta demokrasia kwa madikteta.
 
Waziri Mkuu wa Ethiopia,Abiy Ahmed ametangaza Hali ya hatari nchini kote Ethiopia, hii Ni baada ya wapiganaji wa Jimbo la Tigray wa TPLF kuteka miji miwili ya Dessie na Kombolcha iliyoko Katika Jimbo jirani la Ahmara.

Waasi hao wa Kaskazini mwa Ethiopia ambao wamekuwa wakipigana na vikosi vya SERIKALI kuu ya Addis Ababa kwa mwaka Mmoja Sasa, wanaonesha Nia ya dhati ya kuanza kuushambulia mji mkuu wa Nchi hiyo wa Addis Ababa. Lakini SERIKALI ya Ethipia imesema kuwa bado vikosi vyake vinapambana na wapiganaji hao.

Waziri Mkuu huyo amewataka Raia wote wa Nchi hiyo ambao wanamiliki Siraha Kinyume Cha sheria wazisajiri Siraha zao ndani ya mda wa siku mbili ili kujiandaa kuulinda mji mkuu wa Addis Ababa.

Waasi hao wa TPLF wameungwa mkono na Wapiganaji wa jimbo la Oromo ambao wameonesha Nia ya kumuondoa Waziri Mkuu huyo Madarakani

Msemaji wa TPLF amesema kuwa,Nia yao haikuwa kupigana na vikosi vya SERIKALI nje ya Jimbo lao la Tigray,lakini kutokana na Mzingiro uliwekwa na Serikali ya Addis Ababa dhidi ya Jimbo Hilo umesababisha Ukosefu wa huduma mhimu za kijamii Katika Jimbo Hilo kitu ambao TPLF haiwezi kukubali kuona Wananchi wa Jimbo Hilo wakihangaika kwa kukosa Chakula,Maji na Madawa.
2
 
Waziri Mkuu wa Ethiopia,Abiy Ahmed ametangaza Hali ya hatari nchini kote Ethiopia, hii Ni baada ya wapiganaji wa Jimbo la Tigray wa TPLF kuteka miji miwili ya Dessie na Kombolcha iliyoko Katika Jimbo jirani la Ahmara.

Waasi hao wa Kaskazini mwa Ethiopia ambao wamekuwa wakipigana na vikosi vya SERIKALI kuu ya Addis Ababa kwa mwaka Mmoja Sasa, wanaonesha Nia ya dhati ya kuanza kuushambulia mji mkuu wa Nchi hiyo wa Addis Ababa. Lakini SERIKALI ya Ethipia imesema kuwa bado vikosi vyake vinapambana na wapiganaji hao.

Waziri Mkuu huyo amewataka Raia wote wa Nchi hiyo ambao wanamiliki Siraha Kinyume Cha sheria wazisajiri Siraha zao ndani ya mda wa siku mbili ili kujiandaa kuulinda mji mkuu wa Addis Ababa.

Waasi hao wa TPLF wameungwa mkono na Wapiganaji wa jimbo la Oromo ambao wameonesha Nia ya kumuondoa Waziri Mkuu huyo Madarakani

Msemaji wa TPLF amesema kuwa,Nia yao haikuwa kupigana na vikosi vya SERIKALI nje ya Jimbo lao la Tigray,lakini kutokana na Mzingiro uliwekwa na Serikali ya Addis Ababa dhidi ya Jimbo Hilo umesababisha Ukosefu wa huduma mhimu za kijamii Katika Jimbo Hilo kitu ambao TPLF haiwezi kukubali kuona Wananchi wa Jimbo Hilo wakihangaika kwa kukosa Chakula,Maji na Madawa.
Ww s was swwwwwwesw we swwewq ww we wse was ww ew
 
Je ni kweli Mkono wa taifa la Egypt unaanza kuzaa matunda kufuatia mazungumzo juu ya uhalali wa serikali ya Ethiopia kujenga bwawa kubwa la umeme ktk mto mmojawapo unaotiririsha maji ktk mto Nile ambao ni roho ya sekta ya kilimo cha Egypt. Mzozo ambao Ethiopia kupitia serikali zilizokuwepo Ethiopia kupuuza malalamiko ya Egypt kuwa mkataba wa matumizi sahihi ya maji baina ya Ethiopia , Sudan, Egypt, Tanzania, Uganda wa mwaka 1929 umepuuzwa na Ethiopia hivyo kuhatarisha uwepo wa taifa la Egypt.


2e
 
Back
Top Bottom