Eti afadhali tukose wote

Eti afadhali tukose wote

Sasa siungetoa haya maelezo yote mwanzoni???
Neway mpaka wafikiekumgombania mwanamme wameonyesha wote hawana maana.Si watafute wengine huko...au kabaki peke yake duniani??


Mhh inaweza kuwa kinyume chake kwa anayegombewa; si dalili njema hii!
 
Wanawake bana,wanaponda kweli lakini wote lao moja labda majini ya kwao yawe likizo!
 
Nyie si huwa mnaona raha kuchanganya wanawake na kugombewa

ndomana wanaamua bora wakose wote ili kila mtu awe na time zake.
 
Nyie si huwa mnaona raha kuchanganya wanawake na kugombewa

ndomana wanaamua bora wakose wote ili kila mtu awe na time zake.

Nyie ndo mnajichanganya na mnatuchanganya.
 
Back
Top Bottom