mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,249
- 1,813
Alikuwa ni rafiki yangu, akimhoji mchumba wake,
Lahaula!,
Rafiki, Eti bidada unapenda chakula na vinywaji gani ?
Bidada akasema anapenda ugali dagaa na soda ya mirinda nyeusi.
Dah! Rafiki akashindwa kuendelea mbele kwa kushangaa sana mara bidada akamuuliza vipi?
Jamaa akasema hamna shida tuendelee.
Jamaa kaniuliza baadae nikamwambia huyo ndo mke yaani ndani unaweka debe la unga na dagaa wakutosha.
Ila kwa namna hii bidada atakuwa bikira rafiki kafurahi.
Jokajeusi agaim
Uzi tayari.
Lahaula!,
Rafiki, Eti bidada unapenda chakula na vinywaji gani ?
Bidada akasema anapenda ugali dagaa na soda ya mirinda nyeusi.
Dah! Rafiki akashindwa kuendelea mbele kwa kushangaa sana mara bidada akamuuliza vipi?
Jamaa akasema hamna shida tuendelee.
Jamaa kaniuliza baadae nikamwambia huyo ndo mke yaani ndani unaweka debe la unga na dagaa wakutosha.
Ila kwa namna hii bidada atakuwa bikira rafiki kafurahi.
Jokajeusi agaim
Uzi tayari.