Eti anapenda ugali dagaa na mirinda nyeusi

Eti anapenda ugali dagaa na mirinda nyeusi

mathsjery

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2015
Posts
2,249
Reaction score
1,813
Alikuwa ni rafiki yangu, akimhoji mchumba wake,
Lahaula!,
Rafiki, Eti bidada unapenda chakula na vinywaji gani ?

Bidada akasema anapenda ugali dagaa na soda ya mirinda nyeusi.

Dah! Rafiki akashindwa kuendelea mbele kwa kushangaa sana mara bidada akamuuliza vipi?

Jamaa akasema hamna shida tuendelee.

Jamaa kaniuliza baadae nikamwambia huyo ndo mke yaani ndani unaweka debe la unga na dagaa wakutosha.

Ila kwa namna hii bidada atakuwa bikira rafiki kafurahi.

Jokajeusi agaim

Uzi tayari.
 
Alikuwa ni rafiki yangu, akimhoji mchumba wake,
Lahaula!,
Rafiki, Eti bidada unapenda chakula na vinywaji gani ?

Bidada akasema anapenda ugali dagaa na soda ya mirinda nyeusi.

Dah! Rafiki akashindwa kuendelea mbele kwa kushangaa sana mara bidada akamuuliza vipi?

Jamaa akasema hamna shida tuendelee.

Jamaa kaniuliza baadae nikamwambia huyo ndo mke yaani ndani unaweka debe la unga na dagaa wakutosha.

Ila kwa namna hii bidada atakuwa bikira rafiki kafurahi.

Jokajeusi agaim

Uzi tayari.

Oa mwanamke kulingana na level yako na ulivyo na jinsi mnavyofanana.
 
Daah Nmetafuta reply ya jokajeusi nkagundua uzi huu kawa mpole hajautumia wasifu wake vizuri.

Angekuja na comment zake kama za nyuzi zake zile Ke wote wangesambalatika humu kuanzia huduma za fedha mleta mada wote saiz wangekua uzi wa wamwisho ku reply ndio mshindi
 
Alikuwa ni rafiki yangu, akimhoji mchumba wake,
Lahaula!,
Rafiki, Eti bidada unapenda chakula na vinywaji gani ?

Bidada akasema anapenda ugali dagaa na soda ya mirinda nyeusi.

Dah! Rafiki akashindwa kuendelea mbele kwa kushangaa sana mara bidada akamuuliza vipi?

Jamaa akasema hamna shida tuendelee.

Jamaa kaniuliza baadae nikamwambia huyo ndo mke yaani ndani unaweka debe la unga na dagaa wakutosha.

Ila kwa namna hii bidada atakuwa bikira rafiki kafurahi.

Jokajeusi agaim

Uzi tayari.
Mjichanganye tu mumweke ndani muone atakavyowasumbua dagaa hali mara mbili,ye si mjinga akubali kutaja dagaa na ugali.
 
Back
Top Bottom