Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Mm ni mstaafu kijana wangu.We mwenyewe hujaoa na kwenye akiba zako zote hufikishi elfu kumi na Tano
[emoji1787][emoji1787][emoji3]Ungemwambia wewe unatakaje?
Mjadili na mfikie maafikiano pamoja.
Lakini ikiwa Mwanaume unawaza kama mtoto asiye na Akili ni Bora huyo dada amejinasua mapema na Mwanaume mjinga.
Kama wewe ni wale wasiotoa Mahari kama Sisi Watibeli basi ni vizuri ungempa hoja zako kuu kisha mzijadili Kwa pamoja na huyo mchumbaako, kisha atakayeshinda Kwa hoja zenye mashiko ndio mnachukua huo uamuzi kama uamuzi wa wote (ninyi)
Kama Mahari ni kubwa pia mngejadili kuwa uwezo wako ni kiwango Fulani, na utoe Sababu zenye mashiko.
Ni Bora Mwanamke abaki kuwa single au awe Kahaba na kujiuza Kwa wanaume wenye Pesa au wenye Akili kuliko kuwa na Mwanaume Mpumbavu
Angalau Tena inalipwa mara tatumahari flat rate iwe 500,000/- iwekwe kwenye katiba. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Atakuwa amekuelewa sasaUngemwambia wewe unatakaje?
Mjadili na mfikie maafikiano pamoja.
Lakini ikiwa Mwanaume unawaza kama mtoto asiye na Akili ni Bora huyo dada amejinasua mapema na Mwanaume mjinga.
Kama wewe ni wale wasiotoa Mahari kama Sisi Watibeli basi ni vizuri ungempa hoja zako kuu kisha mzijadili Kwa pamoja na huyo mchumbaako, kisha atakayeshinda Kwa hoja zenye mashiko ndio mnachukua huo uamuzi kama uamuzi wa wote (ninyi)
Kama Mahari ni kubwa pia mngejadili kuwa uwezo wako ni kiwango Fulani, na utoe Sababu zenye mashiko.
Ni Bora Mwanamke abaki kuwa single au awe Kahaba na kujiuza Kwa wanaume wenye Pesa au wenye Akili kuliko kuwa na Mwanaume Mpumbavu
Aliekuzaaa wewe alikuwa na thamani Gani kwnza??? Au ndio mpaka Leo anadeni??
Daktari wa Mitishamba ni Chemist, ni mkemia wa hali ya Juu, hawezi kuwa na fikra za kumdhalilisha Mwanamke aliyempatia sehemu kukulia na hatimaye kuwa Daktari.Ana shida! Daktari wa mitishamba!
Baba yako alilipa hiyo pesa ?Daktari mzima analeta upuuzi kama huu. Hebu kaa na Wazee wako uwaulize aliyekuzaa alikuwa na thamani gani.
Wacha kujishusha
Wewe baba yako alilipa hiyo pesa ?Ukitoa mahali ndio itakuwa ina mlisha na kumvalisha?
Muulize mzazi wako kwanini ulitoa mahali? Au kwanini ulitolewa mahali? Je ndio ili kuvisha na kukuvalisha?
Mama yako alilipwa sh.ngapi ?Sasa kidada kina kosa gani au ni umaskini wako tu unakusumbua,bora muache tu mtoto wa watu.
Mtu ambaye hawezi kupata hata 1.5M ni umaskini wa hali ya juu
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Hivi mwanamke akiolewa bila mahari anapungukiwa nini katika maisha yake ?Sasa ulitaka uambiwe kiasi gani??
Ungemueleza kuwa utatoa ngapi, hiyo milion kwani mnatoaga yote si mnatoaga nusu mnabaki na deni.
Kwa hiyo Hilo shamba litakuwa ndiyo mke?[emoji3][emoji3] 1.5m tabora napata zaidi ya heka Tano tayari kwa kilimo Cha mpunga mwezi wa 11.
Nyingi sana kwa upande wangu siwezi
Amekwambia mahali na sio mahari naona hamkuelewana.Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.
So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..
Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!
Ntachelewa sana kuoa 😀
Anapungukiwa mahari.Hivi mwanamke akiolewa bila mahari anapungukiwa nini katika maisha yake ?
Kumezuka mtindo hapa JF wa member kujiita kwa tittle ya Dr halafu ukiwachunguza sana wanafanana fanana hata michango yao hapa JF.Daktari mzima analeta upuuzi kama huu. Hebu kaa na Wazee wako uwaulize aliyekuzaa alikuwa na thamani gani.
Wacha kujishusha