Eti anataka mahari milioni 1.5

Eti anataka mahari milioni 1.5

Ungemwambia wewe unatakaje?
Mjadili na mfikie maafikiano pamoja.
Lakini ikiwa Mwanaume unawaza kama mtoto asiye na Akili ni Bora huyo dada amejinasua mapema na Mwanaume mjinga.

Kama wewe ni wale wasiotoa Mahari kama Sisi Watibeli basi ni vizuri ungempa hoja zako kuu kisha mzijadili Kwa pamoja na huyo mchumbaako, kisha atakayeshinda Kwa hoja zenye mashiko ndio mnachukua huo uamuzi kama uamuzi wa wote (ninyi)

Kama Mahari ni kubwa pia mngejadili kuwa uwezo wako ni kiwango Fulani, na utoe Sababu zenye mashiko.

Ni Bora Mwanamke abaki kuwa single au awe Kahaba na kujiuza Kwa wanaume wenye Pesa au wenye Akili kuliko kuwa na Mwanaume Mpumbavu
[emoji1787][emoji1787][emoji3]
 
Ungemwambia wewe unatakaje?
Mjadili na mfikie maafikiano pamoja.
Lakini ikiwa Mwanaume unawaza kama mtoto asiye na Akili ni Bora huyo dada amejinasua mapema na Mwanaume mjinga.

Kama wewe ni wale wasiotoa Mahari kama Sisi Watibeli basi ni vizuri ungempa hoja zako kuu kisha mzijadili Kwa pamoja na huyo mchumbaako, kisha atakayeshinda Kwa hoja zenye mashiko ndio mnachukua huo uamuzi kama uamuzi wa wote (ninyi)

Kama Mahari ni kubwa pia mngejadili kuwa uwezo wako ni kiwango Fulani, na utoe Sababu zenye mashiko.

Ni Bora Mwanamke abaki kuwa single au awe Kahaba na kujiuza Kwa wanaume wenye Pesa au wenye Akili kuliko kuwa na Mwanaume Mpumbavu
Atakuwa amekuelewa sasa
 
Aliekuzaaa wewe alikuwa na thamani Gani kwnza??? Au ndio mpaka Leo anadeni??

Mbona ana thamani sana,
Hana deni lelote lile, deni ninalo mie, la Kumtunza na kumheshimu kama alivyonitunza na kuniheshimu kijana wake.

Hatahivyo, una mengi ya kujifunza ulimwengu huu, na unapaswa ukemewe.

Tafuta nafsi ya kusafisha roho yako kwa kumdhalilisha kiumbe wa Mungu.

Sikutegema haya kutoka kwa anayejiita Daktari. [SIC]

Amani ikufikie.
 
We jamaa mbona hiyo mahari ni ya kawaida sana,Haikua na haja ya kuanza kulia lia bila sababu,ukienda kwao mkaongea vzr na wazazi wake wanaweza kukupunguzia pia.
 
Back
Top Bottom