Frida Vumilia KYESI
Member
- Jan 13, 2023
- 93
- 109
Llipa mahari ni heshima onyesha upendoKuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.
So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..
Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!
Ntachelewa sana kuoa 😀
Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.
So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..
Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!
Ntachelewa sana kuoa 😀
NakaziaSijaoa na sina mke wala mpenzi ila nimeshajisemea Mahari ya mwanamke nitakayotoa si chini ya 3m.
Wakitaja 11m nitatoa 3m wakitaja 20m nitatoa 3m wakijichanganya waseme mahari 3m basi nitakua muoaji wa kwanza Kumaliza mahari.
Ki ufupi mahari nmepanga ni 3m tu yani hiyo ipo mfuko wa shati kwa mwanamke yeyote nitakae piga hodi kwao.
Sio zaidi ya hapo wala chini ya hapo. Kwahyo Mkuu wewe 1.5m unaiona Kubwa sikulaumu yawezekana level yako hujafikia huko na naamini pia Hata muda wako wa kuoa haujafika.
MUDA ukifika naamini utapandisha dau mwenyewe hata bila kuambiwa kutokana na maana ya mahari kwa definition utayokua nayo kichwani.
Kwasasa baki tu level za dem wangu,baby wangu,manzi angu,pisi yangu level ya Mke Wangu Bado hujaifikia Boss.
Kwanini stress ziuzwe bei ghali kiasi hicho?Yaan Umeona ni kubwa au kajishusha sana?
Hiyo ndio dawa yao.Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.
So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..
Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!
Ntachelewa sana kuoa 😀
Anha Sawa[emoji3][emoji3] 1.5m tabora napata zaidi ya heka Tano tayari kwa kilimo Cha mpunga mwezi wa 11.
Nyingi sana kwa upande wangu siwezi
[emoji1787] achana na comment jina lako tu ni ishara tosha wewe ni wakala wa kataa ndoaHiyo ndio dawa yao.
Tuwapelekee moto sasa ili tusije kukimbizana na vijana wetu kufukuzia mbususu wakati wa uzeeni.[emoji1787] achana na comment jina lako tu ni ishara tosha wewe ni wakala wa kataa ndoa
Wewe ndio tatizo.Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.
So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..
Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!
Ntachelewa sana kuoa 😀
Kanatokea huko kwwenu Kaliua ?Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.
So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..
Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!
Ntachelewa sana kuoa 😀
. Siwezi toa 1.5m kwa ajili ya mahari 🥴🥴.Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.
So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..
Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!
Ntachelewa sana kuoa 😀
Mimi mwenyewe nimelipiwa 6M achana na mama yangu,Mama yako alilipwa sh.ngapi ?
Nadhani swali lilikua kwa bi mkubwa...Mimi mwenyewe nimelipiwa 6M achana na mama yangu,
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Anitafute mimi hiyo mahari ni ndogo Sana mzee. [emoji23]Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.
So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..
Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!
Ntachelewa sana kuoa 😀