Eti anataka mahari milioni 1.5

Eti anataka mahari milioni 1.5

Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.

So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..

Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!

Ntachelewa sana kuoa 😀


Eti na wewe ni mwanaume unasimamisha unataka mtoto wa watu huku unalalamikia mahari yq 1.5m?
 
Sijaoa na sina mke wala mpenzi ila nimeshajisemea Mahari ya mwanamke nitakayotoa si chini ya 3m.

Wakitaja 11m nitatoa 3m wakitaja 20m nitatoa 3m wakijichanganya waseme mahari 3m basi nitakua muoaji wa kwanza Kumaliza mahari.

Ki ufupi mahari nmepanga ni 3m tu yani hiyo ipo mfuko wa shati kwa mwanamke yeyote nitakae piga hodi kwao.

Sio zaidi ya hapo wala chini ya hapo. Kwahyo Mkuu wewe 1.5m unaiona Kubwa sikulaumu yawezekana level yako hujafikia huko na naamini pia Hata muda wako wa kuoa haujafika.

MUDA ukifika naamini utapandisha dau mwenyewe hata bila kuambiwa kutokana na maana ya mahari kwa definition utayokua nayo kichwani.

Kwasasa baki tu level za dem wangu,baby wangu,manzi angu,pisi yangu level ya Mke Wangu Bado hujaifikia Boss.
Nakazia
 
Ndoa ni UTAPELI kuanzia hizo process za POSA na MAHARI utapeli unaanzia hapo. Umejionea?

Kataa Ndoa. Ndoa ni wizi.

Wenzio wamemtombesha bure bure wewe unaenda kuuziwa kwa 1.5 huku interest rate inapanda kwa matumizi INDIRECTLY ya kila siku kwake na kwa UKOO wake.
 
Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.

So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..

Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!

Ntachelewa sana kuoa 😀
Hiyo ndio dawa yao.
 
Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.

So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..

Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!

Ntachelewa sana kuoa 😀
Wewe ndio tatizo.
Unataka mke wa Buku 2?
 
Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.

So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..

Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!

Ntachelewa sana kuoa 😀
Kanatokea huko kwwenu Kaliua ?
 
Hivi maana ya Mahari ni nini?...

Wanasema shukrani kwa wazazi wamemlea huyo binti hadi ukampata!
Je walio kulea wewe mwanaume kwaajiri yake nani atawashukuru?

Wanasema ni ownership ili kizazi kiwe chako..watoto wafwate jina lako!!
Je nikiacha wafwate la upande wa mama yao, upande wao wataleta mahari kwa mwanaume?(watoto wengi wanabase sana kwa mama afterall)..

Je, ni kumnunua mtu? Meaning atafanya kama ninavyo hitaji kila kitu...sidhani...wanaume wengi wanaishia kufanya wanawake wanayohitaji!!


Mahari ni nini?
 
Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.

So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..

Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!

Ntachelewa sana kuoa 😀
. Siwezi toa 1.5m kwa ajili ya mahari 🥴🥴.
. Bora nikanunue kiti moto nitafune na Balimi ya kushushia. 😋😋😋
 
Kuna kibidada Leo nimekiacha asubuhi kimeniambia tumekuwa kwenye mahusiano muda sasa.

So kinataka nikioe so niende kwao na 1.5m kama mahali bado gharama za harusi..

Nimekiambia kitafute mwanaume wa kuoa kiachana na mimi!

Ntachelewa sana kuoa 😀
Anitafute mimi hiyo mahari ni ndogo Sana mzee. [emoji23]
 
Back
Top Bottom