Kaniambia nikujibu haachi..acha unafiki na kutusanifu ok
nachukia sana watu wanaopenda kuwasanifu watanzania na kuwaona hawana akili wakati huenda wao ndiyo hawana akiliMuambie akupe mtaji.
Khee! Kumbe kuna habari mpya huko Dar? Huku milimani hatuna taarifa..Sijui kwanini mnampa attention huyo mpuuzi ashalemewa na born town
DuhKaniambia nikujibu haachi..
Sielewi hata uzi unahitaji nini
Ww ni kama mm tu! Mm nimesombwa na maji nipo baharini naelea huku nasubir chopper ya kijeshi ije inirushie kambaKhee! Kumbe kuna habari mpya huko Dar? Huku milimani hatuna taarifa..
Dear OPWho care??
Ndo unakaa Sinza nawe? Nasikia Sinza pawe jua pawe mvua, maji kila kona ππWw ni kama mm tu! Mm nimesombwa na maji nipo baharini naelea huku nasubir chopper ya kijeshi ije inirushie kamba
HahahaaSielewi hata uzi unahitaji nini
Au dives siyo??acha kujidekeza utakufa maji piga makasia kuelekea kwenye fukweππWw ni kama mm tu! Mm nimesombwa na maji nipo baharini naelea huku nasubir chopper ya kijeshi ije inirushie kamba
Mvua zikinyesha dar si mpk bahari inakuwa na maji machafu?Au dives siyo??acha kujidekeza utakufa maji piga makasia kuelekea kwenye fukweππ
Ilihitaki akili kubwa kumuelewa raraa reree shida we endelea kuhis maji anayoyasema ni H20Ndo unakaa Sinza nawe? Nasikia Sinza pawe jua pawe mvua, maji kila kona ππ
Poleni, ngoja kidege cha ACT wazalendo kinakuja.
Cc raraa reree
Hayo maeneo kipindi chote cha mwaka ni kutiririsha maji tuuNdo unakaa Sinza nawe? Nasikia Sinza pawe jua pawe mvua, maji kila kona ππ
Poleni, ngoja kidege cha ACT wazalendo kinakuja.
Cc raraa reree
Hapana ni mimaji hiyo hiyo πIlihitaki akili kubwa kumuelewa raraa reree shida we endelea kuhis maji anayoyasema ni H20
Ndo hv mzeee sema npo kwenye mkondo wa maji bahariniAu dives siyo??acha kujidekeza utakufa maji piga makasia kuelekea kwenye fukweππ