Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
OP umeniacha kidogo maanake🤣Dear OP
OP_Out post
OP_Out of Point
OP_Operation
Embu kuwa specific!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OP umeniacha kidogo maanake🤣Dear OP
Nyie watu mnahitaji kuongozwa na maraika,awamu ya tano mlisema haya na hii awamu bado mnasema haya ,kipi ni kipi?yaani umebana kila kona hata hela ya kununua tu sukari achilia ?
😃😃Ndo hv mzeee sema npo kwenye mkondo wa maji baharini
OP ni origal poster..OP umeniacha kidogo maanake🤣
OP_Out post
OP_Out of Point
OP_Operation
Embu kuwa specific!!
Ni Kwa baadhi ya maeneo bn! Afu mvua sehemu zote zinanyesha sana sema Watu wa dar wanapenda kulia lia Kila jambo mayoweHapana ni mimaji hiyo hiyo 😂
Masika ya sasa sijui vuli, zinakuja kupatana na kiangazi cha kwakani ila bado mitaro/ na mitaa kuna maji yasiojua kukauka.
Apo sawaOP ni origal poster..
Uliposema who cares, nikareply Op. Original poster anacare ndo maana kaleta uzi 😀😀😀
Nasikia Mbagala hamna mafuriko 😀😀Ni Kwa baadhi ya maeneo bn! Afu mvua sehemu zote zinanyesha sana sema Watu wa dar wanapenda kulia lia Kila jambo mayowe
ndiyo mumeo mwandamizi mkuu au?
Nani kasema? Majungu na uongo!yaani umebana kila kona hata hela ya kununua tu sukari achilia mbali unga wa sembe hatuwezi na usivyo na haya wala huruma unatushangaa kwanini hatuoni wala hatuolewi
kwa mfano cognizant ningetaka kumuoa huyo binti yako au huyo mjukuu wako mzuri mzuri na kukuambia sina uchumi wala shughuli ya uhakika ungekubali na kuruhusu awe nami?
acha tu unafiki na kutusanifu sawa?
Mbagala sijajua!Nasikia Mbagala hamna mafuriko 😀😀
Mvua zinanyesha.. juzi kati usiku huku ilipiga nyingii, mpka unalionea huruma bati. Ila pakikucha hatuna furiko.
Mungu ni mwema, katuepusha kukaa karibu na mito.
Wewe ni mtu ambaye haupaswi kutumia lugha za matusi wala kebehi kutokana na status yako kwenye hili jukwaa.ndiyo mumeo mwandamizi mkuu au?
Wewe ni mtu ambaye haupaswi kutumia lugha za matusi wala kebehi kutokana na status yako kwenye hili jukwaa.
Hii ni 2024 usiishi kama ilivyokuwa 2023 kurudi nyuma.
Ishi kwa amani na wapinzani wako wakuu kama Dr Matola PhD na TUKANA UONE .
Kaniambia nikujibu haachi..