Eti Arsenal si timu kubwa, sasa kwanini inachukiwa sana?

canfi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2022
Posts
1,368
Reaction score
1,477
Kwa muda mrefu nimekuwa najiuliza hili swali. Timu hii inasemwa kuw haina mafanikio, siyo timu kubwa, lkn inaweza kuwa inaongoza kwa kuchukiwa na mashabiki wa tumu za Man Utd, Chelsea na hata Liverpool (ukiondoa Spurs ambao ni arch rivals wao).

Kwann iwe hivyo wajameni. Unaweza kumchukia/kumuonea wivu maskini? Au kuna sababu nyingine?
 
Yaani uichukie arsenane kweli? Hayo ni matumizi mabaya ya chuki

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna chuki yoyote labda baadhi ya mashabiki wa Arsenal Wana jishtukia. Arsenal Hana upinzani na yeyote katika kutafuta Mataji ya Epl, champion league au UEFA. Arsenal ni timu inayo toa changamoto Kwa timu kubwa Sasa kwanini ichukiwe na simpizani wa yeyote.
 
Hujafanya homework yako vzr. The fact kwamba yeye si mshindani ni jambo moja, suala la kuchukua ni kitu kingine. Na hapo ndipo kwenye mzizi wa hii mada. Fuatlia kwa ukaribu kuanzia mitandaoni hadi vijiweni. Utabaini ukweli huu
 
Aache kuchukiwa United achukiwe Arsenal!? Kwa kipi hasa!? Kuongoza ligi au!? Nikiwa kibandani umiza , nina maadui wa Arsenal, Liverpool, Chelsea na Man City. Hao wote natakiwa niwanyamazishe kwa kushinda.
 
Aache kuchukiwa United achukiwe Arsenal!? Kwa kipi hasa!? Kuongoza ligi au!? Nikiwa kibandani umiza , nina maadui wa Arsenal, Liverpool, Chelsea na Man City. Hao wote natakiwa niwanyamazishe kwa kushinda.
Sawa
 
Aache kuchukiwa United achukiwe Arsenal!? Kwa kipi hasa!? Kuongoza ligi au!? Nikiwa kibandani umiza , nina maadui wa Arsenal, Liverpool, Chelsea na Man City. Hao wote natakiwa niwanyamazishe kwa kushinda.
Na leo mmeshinda
 
Washabiki wa man united ndio wanaongoza kutuchukia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…