MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Sasa usipomuonyesha kuwa kwake umefika si atadhania kweli hujafika. Mantiki zingine bana .taabu kweli kweli.
Na akishadhania kuwa kwake hujafika na akatafuta mwingine utafanya nini? Utamlaumu? Utambembeleza na kumwambia umefika?
Unamwambia nimefika tafadhali badili mawazo...muda huo nae anakua kafika kwingine na kafikiwa basi inakula kwako!!!
Hivi wifi ni mambo gani haswa yanaonyesha mtu yuko desperate?!Amka unawe uso kisha unijibu tafadhali....Binafsi nashindwa kutambua maana hata sijali wala sioni tatizo mtu akinipenda kama vile nimebaki duniani mwanamke mwenyewe....ila malalamiko ndo huwa siwezi kuvumilia!!in an intimate relationship the power lies whith who cares less. unampenda,be kind,play ur part.bt signs of desperation nadhani zinamfanya mwenza akimbie.nadhani nimeona hii,unapompenda mwanaume hadi unaskia kama unapata kichaa,anaanza kuleta maringo.when u almost give up,ana-notice na kuanza kukufukuzia tena.i guess chilling out and take life as it is ndo unaambiwa usimuoneshe.dont go over the roof over petty stuff.what am i saying again,sorry im half asleep,lol!
Nyaniizzo nafurahi kuona unajua kwamba ukimpenda mtu unatakiwa umwache ajue kwamba umempenda haswa usije ukaibiwa na wataalamu wa kujali na kubembeleza!!Lizzy Licious,
Hapo kweli inakuwa imekula kwako mazima bila kubakisha.
Nyaniizzo nafurahi kuona unajua kwamba ukimpenda mtu unatakiwa umwache ajue kwamba umempenda haswa usije ukaibiwa na wataalamu wa kujali na kubembeleza!!
Lol @ Nyaniizzo.....
N to the Izzo....I to Izze
Foshizzle ma nizzle I used to dribble down in GA
N to the Izzo....I to the Izee
Fo' sheezy my neezy keep my arms so freezy
Haaaaaaa ningechana mistari hapa sema staki tu kumharibia sisteri Mj1
nafikiri waga wanamaanisha usimuonyesha mtu uko desperate sana,kwamba kama ye hayupo basi na maisha nayo basi....mpende,mheshimu,mtunze,mshauri lakini kamwe usimfanya binadamu mwenzio kuwa kama mbadala wa maisha yako.....binadamu hubweteka na kujisahau wakati mwingine na kuona wao ndo kila kitu,as in kama wao hawapo basi tena....lakini hiyo sentensi haina maana unampenda mtu umuonyeshe unamchukia...la hasha,kuwepo na kiasi,na reasoning kwenye decision....nenda kwa akili na moyo wako pia,kuwe na kiasi!!
mh mh! Dearest MJ1 kwanza nikusalimu........pili hivi mapenzi yanafichika kweli?lkn nahs inawezekana kukontrol lol!nimekuwa nikiskia sana hii kitu lkn cjui kama ina uhalisia! Wacha nione wengine watasemaje.....
mh kazi ipo, napita tu!:A S 103: