MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,580
Wanajamii
Natumaini wote wazima.........................
Ni mara nyingi nimekuwa nikisikie kuwa ..Kama unataka mwanaume/mwanamke wako kimapenzi asikuchoke basi usimwonyeshe kuwa kwake umefika............yaani hata kama unampenda sana basi unatakiwa usionyeshe!!!
How do people do that?? Mapenzi si wanasema ni kikohozi, hayajifichi?? sasa hapa inakuwaje au inakuwagaje?
Natumaini wote wazima.........................
Ni mara nyingi nimekuwa nikisikie kuwa ..Kama unataka mwanaume/mwanamke wako kimapenzi asikuchoke basi usimwonyeshe kuwa kwake umefika............yaani hata kama unampenda sana basi unatakiwa usionyeshe!!!
How do people do that?? Mapenzi si wanasema ni kikohozi, hayajifichi?? sasa hapa inakuwaje au inakuwagaje?