Eti asijue................How??

Sidhani kama inawezekana ikiwa mtu amependa kwa moyo....yanayokontroliwa ni yale yanayotumia akili zaidi!

Besides ni ubinafsi kuacha kumjali na kumpenda mwenzako ipasavyo kisa hutaki ajue kwake umefika!


Lizzy mpenzi yaani hata mie najiuliza how can someone jifanya hapendi (si ndio maana ya kutomwonyesha??) wakati amekufa ameoza?? Mie bado elewa kabisa kwa kweli!! Kuna wakati nilikuwa nablamiwa .....na we nae umezidi kumwonyesha nampenda ndo mana anakutenda..............sasa sielewi una'jifichaje?'
 

sweetie nakumiss pia ila najipa moyo kuwa sun utaangalia pande hizi...hili swala la kubania upendo na kuonyeshana kiasi linaweza kuwork out kiasi flani kwa wale wasiojua maana ya mapenzi,namaanisha kama John akijua nampenda saana anaanza kuweka poz ilhali na yy anapenda!kwa hivyo mtu akifanya mwenzie asijue kuwa anampenda sana inasaidia kuondoa hizo poz kny mapenzi,all in all nadhani we should be real ukiona pose unamwambia mwenzio asipoeleweka unashuka kny gari lol! :smile:
 
Reactions: BAK

Asha D.......hili ni darasa zito but muhimu hebu tudadavulie tafadhali. Kuna ujumbe mzito sana hapa
 

Hahhahaa eti hujui unafichaje...mpenzi all you have to do is act like you don‘t care!!Hata asipokujulisha amefika safarini salama huangaiki....asipokugupigia na wewe hupigi...asipojibu text yako hupigi.Yani ndani unakua upo na umefika sana ila mhusika unamwonyesha kwamba unambeep tu huna mpango wa kumpigia wala nini.

Ila usisumbuke mwaya hayo waachie wasanii...we kama unaempenda anapendeka mwonyeshe unampenda kiasi kile unachompenda.Muhimu maisha na furaha yako yasimtegemee kupita kiasi mpaka aanze kukunyanyasa maana huna ujanja!
 
Sasa usipomuonyesha kuwa kwake umefika si atadhania kweli hujafika. Mantiki zingine bana….taabu kweli kweli.

Na akishadhania kuwa kwake hujafika na akatafuta mwingine utafanya nini? Utamlaumu? Utambembeleza na kumwambia umefika?


Nyani hilo ndo linalonishangaza....but kwenye vijiwe nimeshasikia sana hii ........usimwonyeshe mwanamke/mwanaume kuwa kwake umeoza..........atakunyanyasa.
 

MwanajamiiOne
I second Michelle comment above,............................Key words"nenda kwa akili na moyo wako"
 
Code:
Hicho ndo wengi wanajidanganya, too much kushindana katika mapenzi...
Nyie kama mnapendana kweli na kila mmoja kumpenda mwenzi wake ipasavyo
naamini inatosha... kinacho fanya watu wachokane katika mapenzi ni failure katika
tendo la sex... na [COLOR=red]sex[/COLOR] si tu lile tendo ni attitude yenu towards [COLOR=red]sex[/COLOR] na jinsi gani
mnaichukulia priority...
 
Pamoja na kusema [COLOR=red]sex[/COLOR] si pekee... naamimi if you really love a person you do
anything for her/him... sasa kama hio sector ya loving each other mumemudu
inayobaki ni [COLOR=red]SEX..[/COLOR].

SEX ndiyo njia pekee ya mwanaumme kuwasiliana na mwanamke na akaelewa kuwa ujumbe umefika bila ya zengwe sasa ukimchakachua hapo utajua yeye ni nani....................
 

...ili kulijibu swali hili kinagaubaga, inabidi kwanza tutafsiri "kuonyesha" mapenzi maana yake nini.

Yule ambaye yupo 'in control' (anayejiamini(?)) kwenye mahusiano,
  • haangaiki kuchunguza mwenza wake yupo wapi, na nani, na anafanya nini.
  • hakosi usingizi, wala hapotezi hamu ya kula kwa sababu ya mpenzi wake, nk,...
Yule ambaye yupo 'out of control' (asiyejiamini) kwenye mahusiano,
  • haishi kuchungua, kupekua, kudadisi, nk nk...
  • hawezi hata kujificha hisia zake.
...Iwapo asiyejiamini anashindwa kutojionyesha hisia zake, Je?... yule anayejiamini (in control)
tunaweza mhukumu kwamba haonyeshi mapenzi?

Tukishajibu hilo, tunaweza kuchambua aina za mapenzi (kutokana na nyakati) zinavyoweza athiri tabia za
wawili wapendanao kiasi cha kupelekea mmoja kujisikia haonyeshwi mapenzi inavyostahiki.
 
Hichi ndicho nilichokuwa nataka kuandika. ubarikiwe michelle.
 

Thanx Mbu may be tukianzia hapa............... kuonyesha nilikomaanisha mie hapa ni kuwa unamjali saaaana, unamfeel sana ....na hii inahusisha na ku'declare' your true feelings kwake.......I think
 
Reactions: Mbu

Eh??? Naomba ufafauzi hapa kabla sijabisha maana nilivyo mbishi hapa nawezasimama juu ya key board kaka yangu
 
Kwa hiyo kaka yale maneno huwa ni danganyia toto?
Mimi nadhani kuna vitu tunavichanganya katika hizi anga za mapenzi! labda niulize suali, Hivi kumuonesha mtu kuwa unampenda ni lazima udhalilike kwake ndio ajue?

halaf mjukuu mtiifu maneno kama yepi? hebu nipe mifano kidogo.
 
Code:
Nyani hilo ndo linalonishangaza....but kwenye vijiwe nimeshasikia sana  hii ........usimwonyeshe mwanamke/mwanaume kuwa kwake  umeoza..........atakunyanyasa.

Mwache akunyanyase ili umjue undani wake vizuri.............kulikoni kumtungia wakati yawezekana kabisa hayuko hivyo............hukumu matendo siyo hisia......................
 
Asha D.......hili ni darasa zito but muhimu hebu tudadavulie tafadhali. Kuna ujumbe mzito sana hapa


Sorry for the delay dear... si unajua kupika huku unachungulia net basi ili mradi tu...

MwanajamiiOne maana yangu ni hii dear...

Unalosema ni kweli kua watu/wenzi wengi wamekua na mtindo wa kutotaka kuonesha au do their best kwa wenza wao in the pretext kwamba huo mwenza wao atajidai... hili suala sio zuri kabisa LAKINI hata hivyo sioni kua hilo ndo ufanya watu wachokane... labda kwa kunymbulisha natoa sababu ambazo naamini kua hufanya watu wachokane...


  1. Mmoja wa mwenza kua too dependent, yaani hata kama kweli unahitaji msaada sometimes ikivuka mpaka mwingine huchoka kutoa hio support anayotoa kila siku. For instance kila mkionana una shida na pesa ya kitu fulani...
  2. Kujifanya kila siku mwenzi anpo suggest mkutane faragha kua you are not interested na unaenda sababu tu eti yeye anataka - haipendezi sababu it takes to for it to be a great experience - alafu pia variety nayo ni muhimu sio kila siku kifo cha mende (kama unashindwa kua creative basi hata waconsult wahindi kwa kua na collection ya kamasutra...
  3. Usumbufu wa simu za mara kwa mara, kwa siku mnapigiana simu mara 10... (seriously what are you talking about! ) walau twice or thrice siku moja moja sio mbaya.
  4. Kua too demanding.. kila siku na kila saa unataka muwe wote kama kumbi kumbi - ni muhimu kupeana breathing space once in a while..
  5. Ku relax mno na kufikiria kua as long as una mwenza there no need ya kufanya effort ya kumfurahisha... ni vigumu kufanya hivyo ndo maana events muhimu kama valentine, birthdays na anniversaries unazitumia effectively ku revive mapenzi yenu..
  6. Na mengine madogo madogo....
My stand...

You love someone please let them know, na kwa vitendo kwa kujali na kuwajali pamoja na mambo yoote ambayo ni muhimu katika maisha yao... Give your best so that ikishindikana mnaachana you know deep down that that was your best but it was never meant to be... be your best that you are forever imprinted in his/her mind - kwamba hata kama alinipiga buti huko aliko ananikumbuka na anajuta uamuzi alokua amechukua... Mapenzi ya kweli you give and give and give.... mpaka pale unaopoona kua hapakufai tena au kama una bahati unakua ndo umefika.
 
Thanx Mbu may be tukianzia hapa............... kuonyesha nilikomaanisha mie hapa ni kuwa unamjali saaaana, unamfeel sana

mnh, sana haina kipimo myluv.
mfano; Sana ya Mbu hailingani na Sana ya Mwj1, au?

....na hii inahusisha na ku'declare' your true feelings kwake.......I think

...hapo kwenye ku declare hakuna ubishi, kama umependa ni aheri useme ukweli wako.
Hakuna maumivu mabaya kama ya kushindwa kusema ukweli wakati unajua ni haki yako.
Tatizo (kwenye mapenzi) unaweza declare lakini bado ukaambiwa uchunguzi zaidi unahitajika.

Utakuwa tayari ku surrender 'all your baggages?'
(Hapa I mean, muda wa kujuana zaidi?...)
 

And thats my stand as well (not one night stand lol), give and show your love but as a matter of precaution nadhani pia ni vizuri mwenza wako akahisi au kujua how strong you are just in case akileta za kuleta, Sisi ni binadamu na tuna udhaifu unatutawala hata tukiupinga, samtaim ni vizuri tukaweka misingi imara ili kuuepusha udhaifu wetu kuteka maisha/mapenzi yetu.

aaargh! inabidi nilog out. baadae waheshimiwa
 


Nashukuru kua you are in agreement with me... and my stand ....lol... bora ume logout ukapalillie mapenzi...
 
Code:
Eh??? Naomba ufafauzi hapa kabla sijabisha maana nilivyo mbishi hapa nawezasimama juu ya key board kaka yangu


Hizo ni taarifa za kisayansi dada yangu.......................wafikiri kwa nini mwanaumme aweza kuua kwa ajili ya kukosa unyumba? Mwanaumme ataongea kwa mdomo lakini mawasiliano yake na mwanamke hayawi kamilifu kama hapati unyumba.........................chunguza na utakuja kuniambia...............kwa hiyo kama haridhiki utamsikia tu huko mtaani atakapoanza kusaka kile ambacho nyumbani kwake hakipati.................................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…