Eti awe mwanamke.

Eti awe mwanamke.

Mtoto wa jirani yangu anasoma form II, kaiba laptop ya baba yake, dola 3,500/=, shilingi milioni moja na laki saba.
Baba yake kagundua, kam'bana na kumsindilia kichapo. Dogo kasema kuwa eti nataka kwenda South Africa akafanyiwe upasuaji awe mwanamke.
Baba yake kusikia hivyo presha zikampanda akaanguka na kuzimia

eeh mola msamehe mja wako

ameen, anamaanisha $ 3,500 🙁
 
masikini wamesha m-cameron huyo mtoto.
 
mbona pesa bado hazitoshi hizo,lol makuku hayo ya kizungu
 
Huyo mtoto atakuwa ameanza kupumuliwa kisogoni.
 
Mtoto wa jirani yangu anasoma form II, kaiba laptop ya baba yake, dola 3,500/=, shilingi milioni moja na laki saba.
Baba yake kagundua, kam'bana na kumsindilia kichapo. Dogo kasema kuwa eti nataka kwenda South Africa akafanyiwe upasuaji awe mwanamke.
Baba yake kusikia hivyo presha zikampanda akaanguka na kuzimia
Utandawazi huo.
 
Wandugu, inabaidi tumuombea Mungu kwa ajili ya ndoa na familia zetu, na hasa watoto wetu! I am trying to figure out ningefanya nini kama mi ndo ningekuwa baba wa huyo mtoto.
 
Wandugu, inabaidi tumuombea Mungu kwa ajili ya ndoa na familia zetu, na hasa watoto wetu! I am trying to figure out ningefanya nini kama mi ndo ningekuwa baba wa huyo mtoto.

Malezi bila ya msaada wa Mungu hakika tutashindwa
 
Dah pole zangu kwa wazazi wa huyu kijana; Mungu pishia mbali uchuro huu usiwakumbe wanetu!
 
Back
Top Bottom