Eti bei ya mafuta ya taa iwe sawa na petrol

Hii ni aina ya 'Upumbavu' iliyowagubika viongozi wetu wengi. Yani haya ndiyo yanapelekea uvunjivu wa sheria kila mara na tunatafuta vijisababu vya 'kijinga' na kuzidi kuwatwisha walalahoi wengi mzigo wa ongezeko la gharama za maisha.

Yani mnashindwa kuwadhibiti wachache mnaamua mzigo wote kuubwaga kwa walalahoi walio wengi?

Inakera SANA
 


exactly! aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Lakini wanapaswa kujua kuwa wamepewa dhamana (madaraka) kwa ajili ya hawa walalahoi.

Wote mpo sawa, ila kuna alternatives nyingine nyingi tu ambazo walalahoi wanaweza kukimbilia. Crank Box ni bidhaa moja wapo ambayo itawafaa sana walala hoi wa TZ. Angalia tangazo lake kwenye jukwaa la matangazo madogo madogo. Bidhaa hii haina matumizi mengine zaidi ya nguvu zako mwenyewe. Si ndio mtaji wa maskini?

Mafuta ya taa yana gharama zaidi ya kununua tu. Yana wa-cost raia matatizo mengi tu, ikiwa ni pamoja na moto, kiafya n.k. Kwa hiyo mi nashauri wana JF pamoja na jamii ya kitanzania kwa ujumla wasinung'unike sana. Kwani mkombozi wao yupo!!
 

Well said amoeba!!
Crank Box can be used for studying. Wasaidieni ndugu zenu walala hoi wapate walau crank box moja ili watoto wao wapate kusoma bila kuumiza kichwa bei ya mafuta ya taa.
CRANK BOX NDIO MKOMBOZI WETU SASA!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…