sasa kwann watu wanaishobokea sana hiyo klauz wakati mawimbi yake hayafiki mbali?kuna kitu kinakosekana kwnye izo redio zngn mpaka waishobokee? dadavueni vzr wadau
huyo demu wa kona Bar mwambiee aende kule MMU wanajadili namna ya kusafisha papuchi isitoe harufu, nikirudi kwenye mada Radio free na Kiss Fmeee nazkubali mbaya xema nowdayz usikivu wao cyo mzuri xana
kila radio ina vipindi vyake ambavyo vinapendwa kulingana na m2 uko wapi ni saa ngap unafanya nn na unahitaji nn kwa muda huo, kwamm asubuh nackiliza RFA+WAPO,mchana EA+CLOUDS+UHURU,jioni TIMES+CLOUDS(sports extra only habar za out of bongo) radio zote kwangu zinanafac
Radio kubwa ni GRUNDIG ya kijerumani...sema tu hazipatikani sana kwenye soko kutokana na gharama zake kuwa juu, na wabongo tunamudu zaidi bidhaa za kichina.....