Hahaaa hadi inahuzunisha.😀😛😀acha kudanganywa kitoto
Kama ku bet basi Dr. Leakey ana bet Casino, sifahamu huko inakuwaje lakini ni ukweli usiopingika kuwa Dr. Leakey ni "addicted gambler", teja la kamari.
Namuomba Allah amuondoshee hilo tatizo huyu ndugu yangu katika Uislam, ni tatizo kubwa sana.
Kabisa mwanangu na wenzake niliwasikia wakiongea jambo kama hili..Maongezi kama haya yanaongewa na watoto miaka 5-9 ambao wanasubiriana waanze kucheza chandimu
Hili ni janga kwa taifa letu kweli wazungu wamerudisha utumwa kwa njia nyingineKama ku bet basi Dr. Leakey ana bet Casino, sifahamu huko inakuwaje lakini ni ukweli usiopingika kuwa Dr. Leakey ni "addicted gambler", teja la kamari.
Namuomba Allah amuondoshee hilo tatizo huyu ndugu yangu katika Uislam, ni tatizo kubwa sana.