Eti Doctor Leakey kakatazwa KUBET?

hiram

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
266
Reaction score
393
Eti DK Leakey alikuwa akiyapiga sana makampuni ya betting kwa hiyo kakatazwa kubet na wamemuajiri na ndiye anayetengeneza fixtures.
Swali:
1. mashine nyingi za kubet mtu haandiki jina je watamdhibiti vipi?
2. Je akimjazia mtu mwingine mkeka je?
3. Ukiacha vijiweni Je Hii habari iliandikwa na chombo gani cha habari?
 
Kama ku bet basi Dr. Leakey ana bet Casino, sifahamu huko inakuwaje lakini ni ukweli usiopingika kuwa Dr. Leakey ni "addicted gambler", teja la kamari.

Namuomba Allah amuondoshee hilo tatizo huyu ndugu yangu katika Uislam, ni tatizo kubwa sana.
 
Na mimi ninekuwa teja kweli kweli na kuacha na shindwa kabisa ila natamani kuacha lakini ndo nashindwa huyu ibilisi ananitesa na kunifilisi
Kama ku bet basi Dr. Leakey ana bet Casino, sifahamu huko inakuwaje lakini ni ukweli usiopingika kuwa Dr. Leakey ni "addicted gambler", teja la kamari.

Namuomba Allah amuondoshee hilo tatizo huyu ndugu yangu katika Uislam, ni tatizo kubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili unayo. Inachaji. Inahoji.

Umeshindwa kupata conclusion hapo?
 
wakishalewa gahwa na alkasus ndio ujinga ambao huwa wanaongea !!! ???? ujinga mtupu
 
Kama ku bet basi Dr. Leakey ana bet Casino, sifahamu huko inakuwaje lakini ni ukweli usiopingika kuwa Dr. Leakey ni "addicted gambler", teja la kamari.

Namuomba Allah amuondoshee hilo tatizo huyu ndugu yangu katika Uislam, ni tatizo kubwa sana.
Hili ni janga kwa taifa letu kweli wazungu wamerudisha utumwa kwa njia nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…