Eti Doctor Leakey kakatazwa KUBET?

Kama ku bet basi Dr. Leakey ana bet Casino, sifahamu huko inakuwaje lakini ni ukweli usiopingika kuwa Dr. Leakey ni "addicted gambler", teja la kamari.

Namuomba Allah amuondoshee hilo tatizo huyu ndugu yangu katika Uislam, ni tatizo kubwa sana.
Nakuja Canada,tuonane
 
SHULE NI YA MUHIMU SANA! WAJINGA BADO WENGI MITAANI.KWA AKILI YA KAWAIDA KUNA KAMPUNI NYINGI ZA KUBETI ZA ONLINE ZA MATAIFA MBALIMBALI SASA WATAMZUIAJE MTU KUBET!!! STORI ZA VIJIWENI BAADA YA KUVUTA KITU CHA ARUSHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…