eti dokii kabla ya kuimba wimbo anamshaurisha rais kikwete

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
alikua akihojiwa kuhusu wimbo wake wa Obama, akaulizwa kwanini kwenye ule wimbo hajamtaja kikwete?. akajibu kwa mishauo kwamba alimuomba ruksa kikwete, alimfuata akamwambia nina wimbo nimekutungia, unaonaje huo wimbo nimuimbie Obama? kikwete eti akamjibu poa hamna tatizo. akaenda kuutengeneza alipomaliza akampelekea auangalie, eti kikwete akasema wawoo!!.. sikutegemea kwamba wasanii wa tanzania munaweza kuimba vizuri kiasi hiki. So anasema sasa hivi anasubiri amuimbie Obama. mia
 
hahahaha waoooh sikujua kama wasanii watz mnaweza imba hivi, loh kama kweli mh rais alizungumza hivyo basi kweli hii nchi kazi tunayo
 
Mama dokiiiii.........teh teh teh simuelewag nae.Mara kaokoka,mara miuno kwenye kampeni na hata huo wimbo wa Obama.mia
 
atanami amenishangaza ila DOKII anachotaka ni kupata nafas ya kuonekana mbele ya OBAMA, ila wotee si CCM ndo maana wanajuana
 
Ukishakuwa legelege unachezewa sharubu.
Huyu ndo rais wetu wa kishua bwana. Hata kusingiziwa unasingiziwa uongo unaofanania na wewe.
 
yaan huyu dada hahaha hata la kuongezea nakosa maana ni muongo!!
 
laiti mngejua kuna zaidi ya hilo wala msingembishia....acha ninyamaze :becky:
 
laiti mngejua kuna zaidi ya hilo wala msingembishia....acha ninyamaze :becky:

yote yanawezekana mbona si hatujabisha ila bi binafsi ninahoshangaa eti jk ashangae nyimbo hii ya dokii hadi kufikia hatua ya kusema "kumbe tz kuna wasanii wazuri hivi" loh kama jamaa alizungumza hayo maneno basi natilia shaka
 
sasa mnachoshangaa nini hapo......mbona ni kweli hajadanganya
 
Kunashamba najitolea aje kulima inaweza eleweka akitoa mazao kuliko huko anapopataka...
 
Mama dokiiiii.........teh teh teh simuelewag nae.Mara kaokoka,mara miuno kwenye kampeni na hata huo wimbo wa Obama.mia

Kuokoka na Disko ni kama chupina kiuno, tofauti ya makanisa yakilokole na KIRABUNI ni Msalaba
 
Katika wasanii wanaojikomba ccm ilimaisha yao yaende ni huyu dada yaani ni kilaza number moja hana uwezo wa kuwa mwanamuziki ni muimbaji tu wa mipasho na hofu na Savimbi kuwa kuwa kapita pale.
 
Alikuwa anasali kwenye kanisa la nabii wa uongo,askofu bendera. Aliyetimuliwa na wananchi baada ya kutembea na wake za watu,alikuwa pamoja na nabii Flora ambaye sasa yupo mbezi beach ameanzisha kanisa lake. Ila huyo mbwa cjui anasali wp?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…