Njoo anko ila uje na antiAnko naomba nikuje ghetto kwako,viatu nitavua, pulizzz[emoji120][emoji120]
Napokea kwa jina la Yesu..Huyo ndo shemelaa[emoji12]
Umenihukumu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Njoo anko ila uje na anti
Aisee tunafanana kumbe[emoji12][emoji12]Napokea kwa jina la Yesu..
[emoji28][emoji28]hapana my dear ni picha nimeitoa huko...napenda mwanaume anaevaa hivyo.
Ila huyo kaniudhi hajamalizia kufunga kufungo
Getho kwangu kuna pea kadhaa za mabuti ya kupigia mafala mitama, ukiingia uruhusiwi kuyagusa hata kwa bahati mbaya.Katika miezi hii na tunakoelekea naona , minyuzi ya wagombea na wagombaniwa imeshika hatamu kila pembe ni uchaguzi na wachaguliwa ila sio dhambi tukijipa break kidogo.
Maisha yana mambo mengi sana ya kuyajadili.
Leo naomba tujadilia hili hasa kwa wale waliopanga kama mimi.
Eti ghetto kwako umeweka sheria gani kwa wageni na washkaji zako?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio hivyo, napenda tu anti pia ajeUmenihukumu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😅😅😅😅asante usijali..nimeifungia sehemu salama sanaaaNitumie pm nikutunzie mkuu
😂😂Mimi nakusomea ukiwa umeegemea kifuani mwangu.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]haya Anko acha nikae nae kamati[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sio hivyo, napenda tu anti pia aje
Wacha weee...🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️🧚♀️Usisahau awe ananukia vizuri...ohoooo Jehovah...Aisee tunafanana kumbe[emoji12][emoji12]
Hiyo inaitwa "ahsante kwa kujali" [emoji1][emoji1][emoji1][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]asante usijali..nimeifungia sehemu salama sanaaa
Wacha weeeHiyo inaitwa "ahsante kwa kujali" [emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji3][emoji3][emoji3]Mgeni karibu gheto, viatu usivue hata kama ni mpoto.../
Sipendi ubosi, na ndio maana geto sijaweka kochi.../
Usijilete ukiwa soft, ukiweka channel za sultan mi nanyang'anya remote.../
Si unajua hili Gheto la muhuni, basi ukisikia muasho kausha hao ni kunguni.../
Kama unataka kuoga nenda bafuni, kumbuka sina demu kwaiyo usimalize sabuni.../
Kuwa specific na swali lakoMasela huwa wanafagia ?
Kama hukubali basi itatafutwa sehemu nyingine, mbona sehemu zenye free entrance ziko nyingi tu 😀Niwe mkweli, mtu wa kutaka tukutane kaunta sikubali, hizo gharama nani aingiliwe?
Mtakutana lodgeKama hukubali basi itatafutwa sehemu nyingine, mbona sehemu zenye free entrance ziko nyingi tu [emoji3]
THE PERFECT MATCH.Kwa mademu anavua kiatu mlangoni kwa sababu naamini akishafanya ivyo tayari nimemaluza step ya kwanza kuelekea kumsaula vilivyobaki mwilini.
Washikaji waingie navyo maana anaweza kuvua kiatu nikakimbia gheto langu mwenyewe.