Eti haya maswali majibu yake ni nini?


Nimekusoma mkuu
 

Ufafanuzi huu ni wa phd thanx
 

Kwakweli ni kero kupita maelezo wengine wanageuza nyumba kubwa kuwa ndogo ha ha jamani haya mambo magumu mno
 

Asante mwaya niko poa kwa sasa. Huo wimbo umenikumbusha mbali sana
 


amakweli ntoto weye una akili kweli, kwa hii posti nimekupenda, ngekuwa sijaoa ngekuoa walahi.
 
hahaha tushukuru sie umri umekwenda na mambo yake nawaonea huruma wadogo zetu ndio amkute jamaa anayejua kucheza sinema za kihindi atakomaje.
Ha ha we unavonijua mie ni wa kuingia chaka kama hilo kweli?
 
hahaha tushukuru sie umri umekwenda na mambo yake nawaonea huruma wadogo zetu ndio amkute jamaa anayejua kucheza sinema za kihindi atakomaje.

Na hilo lililonifanya nilete hii thread maana nimesikia mtu akidanganywa hv
 
Duuuuh wanawake kama wewe wapo wachache sana hapa duniani na si JF tu! Lakini tutoke hapo, hebu tujiulize kati ya wanaume na wanawake ni wepi walio wengi na kama unajua kwa ratio ipi? Ukinijibu nitajenga hoja shosti kama nitakuwa sikubowi lakini.
 
By TECHMAN

amakweli ntoto weye una akili kweli, kwa hii posti nimekupenda, ngekuwa sijaoa ngekuoa walahi.
Ila huyu ndiyo nimempenda sana na Cantalisia!
 
Nazidi kusisitiza wanawake wa namna hii wapo wachache sana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…