Eti haya maswali majibu yake ni nini?


Ukikutana na wa hivi mtoe "BARU" akienda kwingine atasema hayo hayo!
 
Nyumba kubwa aksante dada! Salute.
Kama sio juhudi zenu humu MMU, mapenzi ningeyaelewa lini na wapi MJ1 mie!
 

Ha ha hizo ni tabia chafu zote HAZIFAI
 

We Mzee wa Rula usitudanganye wenzio hakuna demu uliyempata bila kumdanganya kidogo, labda kama alijileta mwenyewe...
 
Nataka nije nioe bubu,nahs hataniambia maneno hayo,na wala kutakua hamna kelele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…