Eti, Hemed PHD kuna mtu ana details za life lake?

Zamani alikuwa akijiita ferrali alikuwa mtuma salamu maarufu redioni sasa image ni mtu wa aina gani.
 
acheni kumsingizia mauongo...kama kuhashukwa Hemedi kaanza aliporudu Tusker ila hakuwa na mambo ya ajabu ajabu kwa tunaomjua,mibaba mizima mimbea!

Ni kama unataka utuambie kitu vile hebu tujuze
 
huyu hemed ni bwabwa ana basha wake bilionea ndo anampa jeur mjin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…