frolian mwebesa Jr
Member
- Aug 27, 2014
- 26
- 0
Jaman nilikuwa ninaomba nijuulishwe na wana jf kuwa eti hospitali ya mwananyamala daresalaam wanatoa shahada ya utabibu (udaktari ) yaan bachelor of doctor of madecine kama unafaahamu naomba unifaamishe tafadhari...