BatteryLow
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 446
- 149
No, siyo daktari na wala hana hospitali, yaani yeye kitendo cha kutembea (kujamiiana) na mwanamke mwenye mimba basi hiyo mimba inachoropoka.Labda huyo jamaa ni daktari, ana hospitali halali au hospitali bubu, na kugegeda ndiyo malipo ya huduma hiyo.
Hii habari niliisikia mara ya kwanza kwenye baa moja Arusha. Wahudumu wa baa walikuwa wanamshauri mwenzao aliepata mimba, badala ya kwenda kwa dakitari kutoa alipe pesa nyingi, aende kwa mtu fulani, wakamtaja na namna ya kumpata. Ninachotaka kufahamu, inakuwaje mwanaume atembee na mwanamke mimba itoke, naomba kujua huo utaalamu!