BatteryLow
JF-Expert Member
- Aug 14, 2011
- 446
- 149
Hii habari niliisikia mara ya kwanza kwenye baa moja Arusha. Wahudumu wa baa walikuwa wanamshauri mwenzao aliepata mimba, badala ya kwenda kwa dakitari kutoa alipe pesa nyingi, aende kwa mtu fulani, wakamtaja na namna ya kumpata.
Ninachotaka kufahamu, inakuwaje mwanaume atembee na mwanamke mimba itoke, naomba kujua huo utaalamu.
Ninachotaka kufahamu, inakuwaje mwanaume atembee na mwanamke mimba itoke, naomba kujua huo utaalamu.