:ranger::ranger::ranger:hebu wa humu tupe mifano tuwaulize kama n kweli then tuendelee.
:ranger::ranger::ranger:
hebu wa humu tupe mifano tuwaulize kama n kweli then tuendelee.
:brushteeth::brushteeth::brushteeth:sema...
Nyamayao.
Wapo wengi humu....
da sophy, nyamayao, mj1, fl1, js, roses, bht...endles list....
Hapa tunataka ushuhuda!
:nono::nono::nono:ndio umenitaja?
:nono::nono::nono:
Niulize kaswali kadogo...mie kwa kweli hapana, mie ukali wangu ni wa kawaida hauusiani na hicho kitendo coz shemeji yako anakifanya ipasavyo, labda angemaanisha wanaozidiwa na tukio ningesema...lol
Niulize kaswali kadogo...
Hivi asipokuwepoa kwa muda mrefu inakuaje? au kuna kaserengeti boy?😛eep:
:tape::tape::tape:ahaaa, sawa! leo umeamua kuwa bubu?
c anakuwa hayupo....